Leicester tunampiga nying tuu.. ataimba halaleluya..Kununa si utanuna kesho
ArsayNO v Leicester
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
.....
Wale hawatuwezi tulia uone mambo yetu

Wengine mlitoa sare km mnaharusi mtaan kwenu..Last season mlivebwa na mateda kwa kupewa magoli ya mkono na penati za kibwege ndo mkamaliza wa 5
Mna bahati video assistant referee bado haitumiki
![]()
![]()
![]()
.....
Aahh.. tulikuwa tunapuliza wakat tupo xcul, shem mbona mgumu kuelewa..Uwiii kwani anapuliza mie mkewe mbona cjui
![]()
Wale waoga wa maji mpo?
Ngoja Bitoz amalize kwanza T/10 ..T umenikosha aisee tupiaaa
Wacha niisikilize mkuluu..Hii ya Zimbabwe ya roma mkatoriki mbona kama inafumua makaburiii ...
Yawe magoli tata yawe magoli benz sie hatujuj, alie mbele yetu sasa hiv tunatafuna mpaka mifupa dadeki..Samtaimu wanapendelea waziwazi ushabiki tuweke pembeni
Kumbuka Howard Webb alivyokuwa anatupa penati feki Man Utd
Msimu uliopita Gunners ndio mliongoza kwa kubebwa tena dakika za majerushi milpewa penati/magoli tata au magoli ya ushindi
![]()
![]()
![]()
.....

Yesu usinkumbushe yule refa aiseee hakunaga tusi sikuwa nampa ,yule alizidi bwana

Unaweza kufa kwa presha
Kwenye pichaUlimuona wap?
Wasumbufuu kama mwenye kuku![]()
Kuku wa madenge![]()
Hhmm.. badi utakuta madonati ya kichina haya.. watakula wenyewe..
Akya kya kya kya kya kya kya kya
Na yako imevujaaa![]()
![]()
![]()
![]()
Teh teh teh.. tozi nyangema na kiburudisho chake
Hapo ndio katabasamMbona bitoz kanuna?
.
Sura halaf mbona kama yule wa futuhi..