Makapuku Forum

Makapuku Forum

916d158ce5c26967dddff78837545323.jpg


Uncle DT
Trump himself
 
9/Olm
3263c12f705d1555cf5cb1ebef102cd8.jpg
93aa73258aeb9f43af15aa87f558ef7d.jpg
20588dc0f4dde7bcfb30ace079b1dc1f.jpg
Wanafanana na mijusi ila hawa siyo reptilia bali ni amphibia jamii ya Salamander
Hawa hawana hata vimacho vya kuzugia hivyo mabichwa yao yapoyapo tu kama tofali
Hawaoni ila wana uwezo mkubwa wa kuhisi
Wana uwezo wa kutambua(detect) mawimbi ya umeme hivyo kwao kutoona sio ishu na hawakamatwi kiboyaboya
Wanapendelea kuishi mapangoni haswamajini kernye nchi mbalimbali za Ulaya
......
 
8/Kentucky Cave Shrimp
72e99648fe6bdcbf3535828e9462d3bf.jpg
c2db962d9e8ccb23fb3b262f74fcec27.jpg
5b307b1a5b39a424a85726e46ce0fb6d.jpg

Inaonekana mapangoni ndio chimbo kuu la vipofu hivyo nashauri wasioona wakusanywe nchi nzima wapelekwe kwenye mapango ya Amboni wakaishi kwa raha zao
Hawa ni jamii ya Uduvi nafikiri ushawahi kusikia hilo neno kwa kimombo ndio Shrimp
Hawa wana uwezo mkubwa wa kufanya maamuzi kwa kutumia milango mingine ya ufahamu tofauti na macho ambayo hawana
Pamoja na ujanja wao wote adui wao mkubwa ni water pollution maana uchafu mwingi unasukumwa mapangoni
.....
 
9/Olm
3263c12f705d1555cf5cb1ebef102cd8.jpg
93aa73258aeb9f43af15aa87f558ef7d.jpg
20588dc0f4dde7bcfb30ace079b1dc1f.jpg
Wanafanana na mijusi ila hawa siyo reptilia bali ni amphibia jamii ya salamander[/b]
Hawa hawana hata vimacho vya kuzugia hivyo mabichwa yao yapoyapo tu kama tofali
Hawaoni ila wana uwezo mkubwa wa kuhisi
Wana uwezo wa kutambua(detect) mawimbi ya umeme hivyo kwao kutoona sio ishu na hawakamatwi kiboyaboya
Wanapendelea kuishi mapangoni haswamajini kernye nchi mbalimbali za Ulaya
......
Unanikoshaaa
 
7/Kauai Cave Wolf Spider
7a767ddc4e7c427936fc4b2a916a06cc.jpg

a448612595af45f6689062ff8ab4362e.jpg
49df1e052bffc5c1dcae9865db9d438c.jpg

Wazee wengine wa mapangoni !!
Simwongelei Spiderman wala Spiderwoman hapa namjadili buibui halisi asiyeona
Wanapatikana kwa wingi kwenye sehemu korofi zisizopitika kwa urahisi(remote areas) huko katika Jimbo la Hawaii nchini Marekani
Kutokuona kwap ndio kumewafanya wajitenge maana wanahofia maadui
Ukuwaona kuwagundua ni rahisi tu sababu tofauti na wolf spider wengine wenye macho makubwa tu wao hawana
......
 
7/Kauai Cave Wolf Spider
7a767ddc4e7c427936fc4b2a916a06cc.jpg
Buibui wa kawaida
a448612595af45f6689062ff8ab4362e.jpg
49df1e052bffc5c1dcae9865db9d438c.jpg

Wazee wengine wa mapangoni !!
Simwongelei Spiderman wala Spiderwoman hapa namjadili buibui halisi asiyeona
Wanapatikana kwa wingi kwenye sehemu korofi zisizopitika kwa urahisi(remote areas) huko katika Jimbo la Hawaii nchini Marekani
Kutokuona kwap ndio kumewafanya wajitenge maana wanahofia maadui
Ukuwaona kuwagundua ni rahisi tu sababu tofauti na wolf spider wengine wenye macho makubwa tu wao hawana
......
Hawana sumu kali?!
 
6/Sea Urchins
8440896283d7a2b4a0513b92f1851ab8.jpg
d13c8578f80548fe0594bdd9e969c3ae.jpg
5716f21afeb35b78ad84d8bb516b5358.jpg

Nauzungumzia "uchini" wa baharini siyo uchini unaouwaza wewe
Wanasayansi wameshindwa kung'amua kama kweli hawaoni kabisa au wanaziga tu maana wanabadili rangi zao kama vinyonga kuendana na mazingira ya mwanga
Pia wana tabia ya kujongea kuufusta mwanga ,siyo hivyo tu wana uwezo wa kuzalisha protini ya kuwawezesha kutambua mwanga
Hivyo hawa vipofu hawaaminiki hata kwa watafiti vichwa vinawauma tu

..................................
Zitaendelea baadaye
 
7/Kauai Cave Wolf Spider
7a767ddc4e7c427936fc4b2a916a06cc.jpg
Buibui wa kawaida
a448612595af45f6689062ff8ab4362e.jpg
49df1e052bffc5c1dcae9865db9d438c.jpg

Wazee wengine wa mapangoni !!
Simwongelei Spiderman wala Spiderwoman hapa namjadili buibui halisi asiyeona
Wanapatikana kwa wingi kwenye sehemu korofi zisizopitika kwa urahisi(remote areas) huko katika Jimbo la Hawaii nchini Marekani
Kutokuona kwap ndio kumewafanya wajitenge maana wanahofia maadui
Ukuwaona kuwagundua ni rahisi tu sababu tofauti na wolf spider wengine wenye macho makubwa tu wao hawana
......
Sorry mkuu ...hawa jamaa sio kwamba hawaoni kabisa ila wanasimple eyes at time ukisoma ancestors wao inaonekana kuna uwezekano walikuwa na compound eye ....japo kiujumla macho yao huwez kuyaona yamefunikwa na wanaona vizuri tu ...

Zipo experiments zilizofanywa na kubaini endapo macho yao yakiwa uncovered hawaoni kabisa ...
 
6/Sea Urchins
8440896283d7a2b4a0513b92f1851ab8.jpg
d13c8578f80548fe0594bdd9e969c3ae.jpg
5716f21afeb35b78ad84d8bb516b5358.jpg

Nauzungumzia "uchini" wa baharini siyo uchini unaouwaza wewe
Wanasayansi wameshindwa kung'amua kama kweli hawaoni kabisa au wanaziga tu maana wanabadili rangi zao kama vinyonga kuendana na mazingira ya mwanga
Pia wana tabia ya kujongea kuufusta mwanga ,siyo hivyo tu wana uwezo wa kuzalisha protini ya kuwawezesha kutambua mwanga
Hivyo hawa vipofu hawaaminiki hata kwa watafiti vichwa vinawauma tu

..................................
Zitaendelea baadaye
Urumba huu, kwetu kigambon ni wa kumwaga.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom