Makapuku Forum

Makapuku Forum

Samtaimu wanapendelea waziwazi ushabiki tuweke pembeni
Kumbuka Howard Webb alivyokuwa anatupa penati feki Man Utd

Msimu uliopita Gunners ndio mliongoza kwa kubebwa tena dakika za majerushi milpewa penati/maholi tata au magoli ya ushindi

.....
Yesu usinkumbushe yule refa aiseee hakunaga tusi sikuwa nampa ,yule alizidi bwana
 
Updates. ....

JOTO KALI IRAQ: Waziri mkuu wa Iraq, Haider al-Abadi leo, atoa likizo kwa wafanyakazi wa serikali, kufuatia joto kali lililofikia Sentigredi 50.

Mbali na Iraq, juma lililopita joto hilo limeshuhudiwa pia kwenye bara la Ulaya ambalo limesababisha watu kadhaa kupoteza maisha...
3803f87f094f45c19c363d663f3996d1.jpg
5ceac86b968d13b3f5391972392dbc3a.jpg
Pole yaoo
 
USHIRIKIANO: Rais Magufuli akutana na kufanya mazungumzo na tajiri namba moja duniani, Bill Gates alipomtembelea Ikulu, jijini Dar Es Salaam.

Bill Gates yuko nchini katika ziara ya kukagua miradi ambayo taasisi yake ya Bill and Melinda inasaidia ukiwemo wa kupambana na magonjwa yasiyopewa kipaumbele....
601b5c1ea0780cd8fc293e5b006bd3c7.jpg


320b69f1502014860edce3107e672fe9.jpg
Sawaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom