Nna 30 kmiliHujambo mdogo wangu...
Ila ujue utakuwa below 23 sasa ..
ndio kwanza uliingilia mda wangu ...na nilivomaliza niliaga
Siku nyingine tumpige tu makwenzi
.....
Oppah..!!! Umenikumbusha mbali aseeIla na wewe punguza sasa oppah.
bhinamu naomba nikusalimie ....shika mooo
Anatupulizia mwenyewe.. anatuona sie mapopoma, kama kujitekenya na kucheka mwenyewe..TOP TEN
Wakati kukiwa na ngonjera pamoja na kiki za kibwege za kutuzuga eti hataki kutawala zaidi ya miaka 10 kila siku wakati ni maigizo tu na kila mtu anajua Urais mwisho ni vipindi viwili sasa mbwembwe za nini sijui?
Wakenya wapo kwenye uchaguzi na ninavyowajua hawapendagi ujinga wale wanaweza kumweka mtu kando ila sijui kzma wameamua
Huko Rwanda bwana mkubwa keshageuka Rais wa maisha wakati aliyejiita hivyo (Omar Bongo} alishajifia na kuzikwa na utawala wake kuishia hapo
Sasa tuangalie marais wa Marekani waliotawala kipindi kifupi
Karibuni
.....
Duuh kumbe utani wa humu unawaumiza watu
Jamani hapa ni stress free sio siasa hivyo utani ni kawaida tu
Mfano Husna & Obe ni couple ya humu ila mimi kila siku nataniana na Husna hadi mtu anaweza kuhisi nina uhusiano nae ila la hasha ni utani tu
Hivyo wadau msiwe mnamind mambo madogo tu pia utani wetu unaishia kwenye thread hii tu tukikutana kwingine hatutaniani kivile na kila mtu yupo huru humu au nje ya thread hivyo ya humu huishia humu
Niwatakie Mchana Mwema
..........
Wazima shemela vp wenzaoKwema kabisa, hawajambo wanetu?
Team wekundu eeh?
Niaje
Lee umepotezea ngao ya jamii eheeapoo sawaa nilitka nile viapo vyangu