makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 35,905
- 104,172
Eehh.. ndio kwanza asubuh na kuna kibarid hatar..Huko kwenu sasa hivi asubuhi makaveli
Sent using Jamii Forums mobile app
Eehh.. ndio kwanza asubuh na kuna kibarid hatar..Huko kwenu sasa hivi asubuhi makaveli
Acha sie tupambane na jua letu
Wacha mie nipate kifungua kinywa..Acha sie tupambane na jua letu
Karibu
Ahsante kwa dondoo mkuuKatika dondoo za bbc. ..
.....Ikiwa imesalia siku moja kabla ya uchaguzi mkuu nchini Kenya, Katika kaunti ya Nakuru maandalizi yamekamilika kwa mkutano baina ya mkuu wa usalama wa bonde la ufa ujumbe wa waangalizi wa umoja wa ulaya na mkuu wa tume huru ya uchaguzi kaunti hiyo Silas Rotich.baadhi ya makanisa ya nchini humo yametumia muda wa ibada zao kuombea uchuguzi huo.
.....Idadi ya wakimbizi nchini Uganda imefikia million 1.3 na wiki hii wamesherekea utamaduni wa mataifa yao wanakotoka, kwa maonyesha ya vyakula kama njia ya mshikamano.
Jihadharini na manabii wa uongo watu wanaowajia wamevaa mavazi ya kondoo, walakini kwa undani ni mbwa mwitu wakali
Mtawatambua kwa matunda yao. Je watu huchuma zabibu katika miiba au tini katika mibaruti?
Vivyo hivyo kila mti mwema huzaa matunda na mti mwovu huzaa matunda mabaya![]()
MATHAYO 7:15-17
Muwe na asubuhi iliyo njema kwenu na mbarikiwe sana![]()
![]()

Hongera kwa Simbu

Kuna jambo linaendelea kati yao
Sipat picha ingekuwa bongo.. usiku watu wangekuwa wanapanda kudownlod movie..
Sent using Jamii Forums mobile app
wabongo kwa dezo wanatishaMbappe ameshatua City?
Kama wachuchuz wapo haina tatzo... nakaa bila shurti
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila km hamna mwali sikai hata kwa mtutu wa bunduki

Well done Simbu
Uko WAP kwani?!
Ni uwasilishwaji wa taarifa tuView attachment 560088Shemela hii ina ukweli, joket na Henry