tayari swtyBaba D jaman ebu ukuje umlete mr x
Yaan leo mzuka wako kama nakuona kisa tumeamka wotee...Kumekucha jamaan amkeni shemela ukuje nisome magazeti mie
Asantee mke mwemaaJihadharini na manabii wa uongo watu wanaowajia wamevaa mavazi ya kondoo, walakini kwa undani ni mbwa mwitu wakali
Mtawatambua kwa matunda yao. Je watu huchuma zabibu katika miiba au tini katika mibaruti?
Vivyo hivyo kila mti mwema huzaa matunda na mti mwovu huzaa matunda mabaya![]()
MATHAYO 7:15-17
Muwe na asubuhi iliyo njema kwenu na mbarikiwe sana![]()
![]()
AmenJihadharini na manabii wa uongo watu wanaowajia wamevaa mavazi ya kondoo, walakini kwa undani ni mbwa mwitu wakali
Mtawatambua kwa matunda yao. Je watu huchuma zabibu katika miiba au tini katika mibaruti?
Vivyo hivyo kila mti mwema huzaa matunda na mti mwovu huzaa matunda mabaya![]()
MATHAYO 7:15-17
Muwe na asubuhi iliyo njema kwenu na mbarikiwe sana![]()
![]()
Shemela za weweKumekucha jamaan amkeni shemela ukuje nisome magazeti mie
Safi baba jj mwenyewe mbona unalala sana hivyo nini shidaShemela za wewe
Ngoja nianze kuisoma Baba Dtayari swty