Makapuku Forum

Makapuku Forum

54fd164ce2bb38a135aa0222349b0e21.jpg
d5e9602aa81beac866dbc73dbd9e1c6f.jpg
8be3c91ae0856be61b15bccfcb231c37.jpg
Ni demu mapepe
Dwight Yoeke mpenda totoz alujipigia sana na kumpa mimba bahati mbaya akazaliwa mtoto asiyeona na hapo akaingia mitini kama digidigi
......
huyu dada jamaan
 
Leo katika Historia

1983 - Robin Van Persie (RVP) anazaliwa.
Ni mchezaji wa zamani wa Arsenal, Man Utd pia hucheza timu ya taifa ya Uholanzi.
Katika Ubora wake, alikuwa moto wa kuotea mbali kwenye swala zima la kufumania nyavu.
e16933fc4f7ae377a1b5fb24c62aea2b.jpg
a44840982a819470a5f060bbbcabb975.jpg
1d345be9892787c153f58fa39715e801.jpg
Babu Wenger alichemsha kuwauzia Mashetani silaha
Kuna asiyejua goli kali alilowapiga Hispania pale Brazil 2014?
Jamaa alijibebea Tuzo ya Puskas
.....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom