shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,912
Dada yako kakutafuta jana, hata hukumuaga[emoji85] [emoji85] [emoji85] sijaenda baba d jana nilichelewa kulala si unajua nilienda nyama choma
Dada yako kakutafuta jana, hata hukumuaga[emoji85] [emoji85] [emoji85] sijaenda baba d jana nilichelewa kulala si unajua nilienda nyama choma
[emoji1] [emoji1]Mimi hapa anko niko macho! Au nimechelewa kujibu? Si unajua mimi ninakuwaga wa mwisho kujibu
Ntapatajee mkuu ...asantee
MmeanzaaDada yako kakutafuta jana, hata hukumuaga
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Duh.. umeamka na kifungh cha mathayo halaf church hujaenda aahh.. vibaya hvyo bibie..[emoji3] [emoji3]
Nilivyokuwa naisoma ile mathayo nkajua wewe kanisan ndio ulikuwa wa kwanza kabsa, mshka funguo wa mlango alikukuta ww njee..[emoji12] [emoji12] [emoji12]
Sent using Jamii Forums mobile app
Leo katika Historia
1978 - Katie Price anazaliwa.
Ni mwigizaji na mwanamitindo toka nchini Uingereza.
[emoji125] [emoji125][emoji3] [emoji3] [emoji3] njoo pm
Mmh Baba D jamanAsantee mkuu ningelisema mm leo ningelinuniwaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ana week yupo kwa dpNa usiniambiee hujambadirisha kiboxxer
Ameen [emoji120] makaveli
D na Baba yake wazima sana shemelaNzuri kabisa shemela wa mimi
Kina JJ na mama yao wako poa kabisa
D na baba yake hawajambo
Huko nisingemnunia
Shemela wangu mie kwenye kitengo chako cha uchocheziLushoto moja hiyo
Aisee![]()
Ni demu mapepe![]()
Dwight Yoeke mpenda totoz alujipigia sana na kumpa mimba bahati mbaya akazaliwa mtoto asiyeona na hapo akaingia mitini kama digidigi
......
Kifua na kiwiliwili unbalnced equation..![]()
Ni demu mapepe![]()
Dwight Yoeke mpenda totoz alujipigia sana na kumpa mimba bahati mbaya akazaliwa mtoto asiyeona na hapo akaingia mitini kama digidigi
......
Loooooooh kashakuwa superstar[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ana week yupo kwa dp
Mmh alinitafuta jana hivi dada si angenipigia jamaanDada yako kakutafuta jana, hata hukumuaga
Ningekupa bana Baba D huko siwezi kukununiaNtapatajee mkuu ...asantee
Alisema halotel haipatikaniMmh alinitafuta jana hivi dada si angenipigia jamaan