Makapuku Forum

Makapuku Forum

Asante mpendwa but Juzi nilikuomba wimbo hukuniwekea ila aloomba anti wako ukauweka

So it means umenidharau ee...?? Saw a tu ngoja nikanywe supu nipunguze hasira kwanza
Naamini sikuliona chaguo lako, si unajua mimi kwako kipofu yaani wewe ndo unanishika mkono.

Uliomba wimbo gani kwani!? Nikumbushe nikailete bendi nzima.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom