Makapuku Forum

Makapuku Forum

58cae917245282b0c0c51ac90854043a.jpg
 
TOP TEN
Week end huanza ijumaa ila kwa huku Uswahilini kwetu kila siku ni week end ila siku hizi gongo/pombe mchana marufuku,bangi nayo ishakuwa dawa ya kulevya,kucheza pool table nako kuna masharti bila kusahau vigodoro vishapigwa marufuku....stress tupu
Kama kawaida yetu week end hakuna siasa wala nini ni kush lawadu zaidi
Tuangalie wacheza filamu 10 matajiri wa kiume(actor)
Ieleweke utajiri wa mtu ni tofauti na umri hivyo hupanda na kushuka pia hutofautiana kwenye source/vyanzo vya habari hivyo niandikacho ni kutokana na chamzo kimoja nilichokichagua
Hivyo mimi sio auditor ......niandikacho sio sheria

karibuni
.........
 
TOP TEN
Week end huanza ijumaa ila kwa huku Uswahilini kwetu kila siku ni week end ila siku hizi gongo/pombe mchana marufuku,bangi nayo ishakuwa dawa ya kulevya,kucheza pool table nako kuna masharti bila kusahau vigodoro vishapigwa marufuku....stress tupu
Kama kawaida yetu week end hakuna siasa wala nini ni kush lawadu zaidi
Tuangalie wacheza filamu 10 matajiri wa kiume(actor)
Ieleweke utajiri wa mtu ni tofauti na umri hivyo hupanda na kushuka pia hutofautiana kwenye source/vyanzo vya habari hivyo niandikacho ni kutokana na chamzo kimoja nilichokichagua
Hivyo mimi sio auditor ......niandikacho sio sheria

karibuni
.........
Asante
 
10/Adam Sandler
039b7e12d329f1b00cf662e52fa32fe4.jpg
1399a7cf0d2ace1c467f7cefcf9c0e43.jpg
Ana umri wa miaka 50
Alizaliwa Brooklyn jijini New York....mama yake alikuwa ni mwalimu halafu dingi mhandiesi wa umeme
Ana asili ya Urusi na Uyahudi
541adecbe979600274ad628b9ba5f34e.jpg
Alianza kuwika akiwa na miaka 17 kwa kuanza na yale mambo ya Masanja na Joti
Kacheza filamu kibao na hivyo kuingiza mpunga wa maana na kubeba tunzo

Anakadiriwa kuwa na utajiri wa USD 350 milioni
.......
 
9/Clint Eastwood
a08091abfbbe13b40bd4143ae7e76ed7.jpg
e075db9baa34942fb3c8251ffaf10e8c.jpg

Huyu ni babu haswa yule Le Mutuz mnamsingizia tu mwacheni ale bata....Eastwood ana umri wa miaka 87
Ni mzaliwa wa San Franciscoaba take alikuwa ni mfanyakazi wa kiwandani wakati mama yake ni mama wa nyumbani yaani golikipa
de514d4343cd66330bb16dfacf2e2143.jpg
cd82dd1bc331dc4a0269c441b2068881.jpg
Huyu ni nguli haswa kacheza filamu kibao pia ana vitega uchumi vya kueleweka piga hesabu tangu enzi hizo jamaa alikuwa anapiga tu hela

Anatajwa kuwa na mpunga wa USD 370 Milioni
.......
 
8/Bill Cosby
13b7b1f2d94baa9e33e03fafc18e922c.jpg
d29588aceca2c4a4672261073e884c2a.jpg
Babu mwingine kwenye list .....ana umri wa miaka 80
Tofauti yake ni Eastwood ni tabia tu,Bill Cosby anTajwa kwenye kashfa kibao za kunyanyasa watoto wadogo min nsia(kubaka/kulawiti
d7d97dfcd2abd597624044ae5f50cb3a.jpg
d8622e85e2303d04c65057f35f6ac9e4.jpg
Nafikiri mnakumbuka vipindi vyake zamani pale ITV jamaa anachekesha kivhizi ila elewa yupo kikazi zaidi

Anakadiriwa kuwa na mkwanja wa USD 380 Milioni
......
 
7/Tom Hanks
3dd8a2ee562b018c9778b87d0c190715.jpg
0259499302fdaea13dd9b2fb0d0b95ec.jpg

Ana. Umri wa miaka 61
Babayake alikuwa ni mpishi akati mamaye alikuwa ni mjanjamjanja sijui alijishughulisha na nini
Filamu yake ya The Da Vinci Code ilikuwa matata na kumuingizia mpunga wa maana
4ca212a9a7bf1c0022fdb88ad51bc8e6.jpg
a80ee1cfa1380da95727f9806153b2f0.jpg

Ila pia ana michongo kibao na majumba ya kifahari

Anatajwa kuwa na mpunga unaofikia USD 390 Milioni
......
 
6/Jack Nicholson
770f7f4c52e21232535c345701375ea3.jpg
550e42de8647b64f9b8b09df0eb7c8af.jpg

Ana umri wa miaka 80
Ni mcheza filamu,mwongoza filamu na mwandika script mahiri
Kacheza filamu kibao ikiwapo ya The Shining ambayo ilivuma
Ni mshindi wa The Academy Award na tunzo zingine kibao
04e030be8d1b5318e883209061b99af2.jpg
304cb98082431f6e4485c31fe9f36d74.jpg

Anatajwa kuwa na utajiri wa USD 400 Milion
..................
Zitaendelea baadaye
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom