Makapuku Forum

Makapuku Forum

1/Dan Brown
431dc002967a55d70ae2e99b4e1f481c.jpg
d5cd265df7af458a4e0492012bdbfb4a.jpg

Alizaliwa Agost/Juni 22 mwaka 1964
Huyu jamaa ni habari nyingine kabisa kwa utunI wa vitabu
Yaani jamaa anaandika sura fupifupi ila zenye utamu balaa(short chapters) na mpangilio wa kueleweka
f303ca5a8647eb524c13cb5231871a9e.jpg
abe39c497d4363aa288bd04428daf695.jpg
bfdd6969181eca1adca15c88041398b2.jpg

Sacrilege ndo kitabu chake cha kueleweka zaidi
Ila kaandika vitabu kibao vya fiction kuhusu mauaji n.k
.
.
.
.
.
.
.
.
Shukrani kwa mliosapoti mada
Niwatakie Usiku Mwema
Tukutane kesho
Mwisho
..........
Asante kwa kumi kubwa mdau
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom