Makapuku Forum

Makapuku Forum

Shimba, nilijua tunafanya utani, na huwa napenda utani na ilipozidi upande wako nilijisikia vibaya maana KF ni sehemu nzuri kila mmoja akiwepo.
Na mind you, kukosoana ni sehemu ya kueleweshana na makosa huwa na kosa pia.
Binafsi sijaweka wala sina kinyongo na kilichotokea as I know wewe ni gentleman. Tunakosea wote , kwangu sina nongwa na kama ulikwazika nami let's move on.
Tuna mengi ya kuifanya KF kuwa Jukwaa bora na hii inawekana tu ikiwa utakuwa mmoja wa member wake.
Pamoja sana
Obe. Asante sana mkuu. Moyo wangu ni mweupe. Na wengine wote niliowakwaza katika jukwaa hili naomba mnisamehe wakuu. Kwangu mimi sina bifu na mtu hapa. Mungu Awabariki sana !!!
 
9e3bc31d3325323c710891dd157872a2.jpg


When your weekend starts before Friday...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom