Za jioni mme mweeWakuu mchana hope ukoo byeeeeeeee.....tetesi soon
Hii bei ni kufuruMonaco wamepandisha bei ya Kylian Mbappe hadi euro milioni 200 kwa matumaini kuwa Barcelona huenda wakamtaka ili kuziba pengo la Neymar anayedhaniwa kwenda PSG. (Mail Online)
Wameishadata BarcelonaBarcelona wanafikiria kumchukua mshambuliaji wa Atletico Madrid Antoinne Griezmann, 26, kuziba pengo la Neymar. (Cadena Ser)
Safi tu, uko poa?Kwema mussolin za kwako
Sawa MkuuKwema mdau
Pole kwa majukumu
& Karibu tena
Ila now jukwaa limebadilika kidogo hakuna umbea wala majungu
Yaani siku hizi hazungumziwi mtu/watu fulani wala kikundi fulani cha watu
Pia hatuizungimzii thread fulani wala yoyote hsta kama inatusimanga
Tunapambana tu na hali zetu
..........