Makapuku Forum

Makapuku Forum

Manchester United wamemuulizia kiungo wa Anderlecht Leander Dendoncker, 22, lakini hawatarajii kumsajili msimu huu. (Manchester Evening News)
 
Monaco wamepandisha bei ya Kylian Mbappe hadi euro milioni 200 kwa matumaini kuwa Barcelona huenda wakamtaka ili kuziba pengo la Neymar anayedhaniwa kwenda PSG. (Mail Online)
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom