Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,403
Utusamehe deni zetu kama sisi nasi tuwasamevyo wadeni wetu
Na usitutie majaribuni, lakini utuokoe na yule mwovu, kwa ufalme wako ni wako na nguvu na utukufu hata milele Ameeen.
Kwa maana mkiwasamehe watu makosa yao na Baba yenu wa mbinguni atawasamehe nanyi![]()
MATHAYO:6:12:15
Muwe na usiku ulio mwema![]()
Tujifunze kusamehe wapendwa hata kama umekosewa vipi msamehe aliyekukosea ili Mungu atusamehe nasi tuliyomkosea nimejifunza kitu kutokana na neno la leo achia roho we samehe tu![]()
Utusamehe deni zetu kama sisi nasi tuwasamevyo wadeni wetu