Makapuku Forum

Makapuku Forum

Kipimo cha mkemia mkuu ni Evidence from an expert ila ishu hapa ni kwamba Mkemia yupo upande wa serikali na pia serikali ndo inayomshtaki Madame hapa lazima kuwe na utata pia huwezi tu kimzoa mtu kitaa na kuchukua mkojo wake bora hata hospitali tunajipeleka wenyewe

Ushahidi wa aina hii ni mzuri mahakamani ila pia ni mbaya sana maana wataalamu wanatumika vibaya kwa naslahi fulani hivyo mara nyingi tu expert evidence is fake
Kila la kheri Wema
........
 
Wataalamu huko marekani wamegundua kuwa sokwe wa kike ndo mnyama pekee duniani ambaye hufika kileleni wakati akifanya ngono huku akijisikia utamu mwingi kuliko mnyama yeyote yule ambapo wanasema pamoja na mambo mengine sokwe hao hujamba mara 4 ikiwa ni ishara ya utamu na kukamilika kwa tendo hilo,na baada ya hapo hupumzika kwa masaa 6 bila kujishughulusha na kitu chochote kile ikiwa ni ktk hali ya kusikilizia utamu ule....
Aidha wataalamu hao wamesema kuwa kutoka na kuzidiwa na utamu huo sokwe huweza kukaa kwa miezi 5 bila kufanya ngono..

By Dr Martinez H.M (VMD)
American Federal Research Istitute


......
 
Leo katika Historia

1990 - Iraq yaivamia Kuwait na kusababisha kuzuka kwa vita vya Ghuba.
60d3e6fc4af0696195d3618202313627.jpg
b7a503b934d4bfa13e6e3ee11d959928.jpg
50b81df071db54311df57abbf6bb6759.jpg

Vita ilihusisha operesheni kuu mbili yaani Operation Desert Shield na operesheni nyingine Operation Desert Storm
Ilipigwa maeneo ya Irak,Kuwait ,Israel na Ghuba ya Persian
Kama kawaida mzee wa permanent interests Marekani alikuwepo akisapoti upande wenye maslahi kwake(Kuwait) ila hakufua dafu
.....
 
Leo katika Historia

1998 - Vita ya pili ya Congo yaanza.
Pia hujulikana kama vita ya Dunia ya Afrika.
f5ba2011097fc88c028aef7b1efe7002.jpg
13ea9c1e0386eeed9f5ad440be875663.jpg
de5d0f90f149d4a2e2b08cf6058bb2df.jpg

Ilokuwa ni takribanimwaka mmoja tu tangu vita ya kwanza kuisha
Mwaka 2002 yalisainiwa makubaliano ya amani ya kumaliza vita ila wababe wa upande wa Mashariki wakaendeleza tu vita
Vita ikaisha rasmi mwaka 2003 baada ya kuundwa serikali ya mpito chini ya Kabila Jr(Joseph Kabila) na kuokoa jahazi ila hadi leo hapajatulia
......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom