Makapuku Forum

Makapuku Forum

DOD YOU KNOW ?
d6d07e89485019cdd9ec5ad4ded20074.jpg
Duh aisee
 
TOP TEN
Wakati bwana yule akiwa na mgogoro na Wazungu kuhusu madini wakishindwa kupatana wataingia vitani kwa kupigana mabomu au vita ya uchumi ya kimyakimya
Sitaki kujifanya na kiherehere kuhusu suala hilo maana sio nia yangu
Vitaisikievkwacjirani tu ni mbaya husababisha vilema na mauti ...kilichotokea Rwanda wakati wa mauaji ya Kimbari kila mtu anajua
Sasa leo tuangalie vita kumi za kibabe zilizosababisha vifo vingi duniani
Hakuna cha Vita ya Majimaji wala Vita ya Kagera

Karibuni
............
Asante
 
TOP TEN
Wakati bwana yule akiwa na mgogoro na Wazungu kuhusu madini wakishindwa kupatana wataingia vitani kwa kupigana mabomu au vita ya uchumi ya kimyakimya
Sitaki kujifanya na kiherehere kuhusu suala hilo maana sio nia yangu
Vitaisikievkwacjirani tu ni mbaya husababisha vilema na mauti ...kilichotokea Rwanda wakati wa mauaji ya Kimbari kila mtu anajua
Sasa leo tuangalie vita kumi za kibabe zilizosababisha vifo vingi duniani
Hakuna cha Vita ya Majimaji wala Vita ya Kagera

Karibuni
............
Tipo Tipo
 
6/Qing Dynasty Conquest of Ming Dynasty
750bd2e5acd50b9cb25cf44a0ba1da90.jpg
18e8ffed775696703c2654a77b594a7f.jpg
b963937a1621665736428464ea87c31a.jpg

Vita hii ya kibabe ilipigwa kuanzia mwaka 1616 hadi 1662 yaani takribani miaka 50 wanakung'utana tu
Ilipigwa huko China kwa akina macho madogo
Qing Dynasty ilifahamika pia kama Manchu Dynasty...ndio utawala wa MW sho wa kifalme huko China ambao ulidumu kuanzia mwaka 1644 hadi mwaka 1912
Baada ya kuanguka kwake ikazaliwa Jamhuri ya China
Manchu dynasty ilianzishwa na Aisin Gioro sasa wakati himaya hiyo ikijitanua tanua ndo vita vikaanza
Mnavyoona ukubwa wa China kieneo mjue kuna njemba iliipigania

Vita hii ilisababisha umwagaji damu ya watu 25,000,00
........................
Zitaendelea baadaye
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom