Makapuku Forum

Makapuku Forum

DOD YOU KNOW ?
d6d07e89485019cdd9ec5ad4ded20074.jpg
Aisee
 
8/Dunqan Revolt
a2c47715238cfba67ffd4f4809258a6e.jpg
35c48099c954bc6f431149b9317f2307.jpg
def749bcf68b3191a004c61346c27bf4.jpg

Vita hii ilipigwa huko China kuanzia mwaka 1862 hadi mqaka 1877
Hii inachekesha kidogo Wachina walikuwa wanapigana tu Kung--Fu zao ovyoovyo tu bila malengo au watoto wa Uswaz husema kutest mitambo
Ilipigwa zaidi sehemu ya magharibi mwa Yellow River
Inasemekana tu walikuwa wanapigana dhidi ya Qing Dynasty ila hakuna hata kaushahidi japo 10% kuthibitisha hilo suala
Mwanzoni watu wake Dunqan walivamia jiji la Beijing ila wakafeli na hivyo kutimkia na Urusi,Kazakhstan na Krygystan

Mwisho wa siku Wachina takriban 12,000,000 walipoteza maisha
......
 
TOP TEN
Wakati bwana yule akiwa na mgogoro na Wazungu kuhusu madini wakishindwa kupatana wataingia vitani kwa kupigana mabomu au vita ya uchumi ya kimyakimya
Sitaki kujifanya na kiherehere kuhusu suala hilo maana sio nia yangu
Vitaisikievkwacjirani tu ni mbaya husababisha vilema na mauti ...kilichotokea Rwanda wakati wa mauaji ya Kimbari kila mtu anajua
Sasa leo tuangalie vita kumi za kibabe zilizosababisha vifo vingi duniani
Hakuna cha Vita ya Majimaji wala Vita ya Kagera

Karibuni
............
Siti ya mbele
 
7/Conquests of Timur--e--Lang
fc45854e693db712186b765aca75d0ec.jpg
53cd5c9754857ec7322fb27c364abc91.jpg
8a608e92f53551a7c57dc42fc894ae1d.jpg

Ilipigwa kati ya mwaka 1369 hadi 1405
Ilipigwa sehemu za India,Mashariki ya Kati,Asia ya Kati na Urusi
Kipindi hicho Timur ilikuwa katika ubora wake hivyo kutaka kuiondoa Mongol Empire halafu hapohapo ilivuma kwa nguvu dhidi ya Islamized Tatar Golden Horde ambaye iliishi kwenye mazingira ya kijijini na kuanzisha vita zilizoathiri maelfu ya Waislamu na tawala zao kama vile Ottoman Empire

Zaidi di ya watu 20,000,000 walipoteza maisha
.......
 
6/Qing Dynasty Conquest of Ming Dynasty
750bd2e5acd50b9cb25cf44a0ba1da90.jpg
18e8ffed775696703c2654a77b594a7f.jpg
b963937a1621665736428464ea87c31a.jpg

Vita hii ya kibabe ilipigwa kuanzia mwaka 1616 hadi 1662 yaani takribani miaka 50 wanakung'utana tu
Ilipigwa huko China kwa akina macho madogo
Qing Dynasty ilifahamika pia kama Manchu Dynasty...ndio utawala wa MW sho wa kifalme huko China ambao ulidumu kuanzia mwaka 1644 hadi mwaka 1912
Baada ya kuanguka kwake ikazaliwa Jamhuri ya China
Manchu dynasty ilianzishwa na Aisin Gioro sasa wakati himaya hiyo ikijitanua tanua ndo vita vikaanza
Mnavyoona ukubwa wa China kieneo mjue kuna njemba iliipigania

Vita hii ilisababisha umwagaji damu ya watu 25,000,00
........................
Zitaendelea baadaye
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom