Makapuku Forum

Makapuku Forum

2b7f5252d19a1d536521815512216824.jpg
 
Ooooh! Richard williams..!
4c2ddcbab6d602a9c548674c2a9aa801.jpg

Richard williams..!

Who is Richard williams

Richard Williams alizaliwa Nchini Africa kusini ila akaenda kusoma nchini Uk .

Baada ya masomo RW ( Richard williams) alijiunga na jeshi la Uk katika kikosi cha Parachut Regiment.

Baada ya hapo aliingia SAS (special Air Service) katika 7th Armoured Brigade akiwa kama Chief of Staff.

Amefanya kazi pia kama Director Staff wa joint service command na staff college.

RW ameshiriki operations nyingi kama north Ireland, Bosnia , south america, macedonia , kosovo, west Africa, iraq, afghanistan na lebanon.

He is good in Conflict resolutions and peace making.

RW amestaafu akiwa na cheo cha LC ( lietenant Colonel) ana shahada ya sayansi ya uchumi, shahada ya uzimivu ya masuala ya kijeshi na ulinzi.

Ana tuzo mbalimbali kama Queen's recommandation for valuable service in SA 1996. SEMA group prize 1999. Na zingine kibao..

Sasa Barrick Gold corporation (BGC) wameamua kuja na RW kwanza kwa sababu ni mtu mwenye uzoefu na conflict resolutions..jamaa ni mzeofu wa kutupwa. Lakkini pia toka astaafu jeshini amekuwa anafanya kazi na kampuni kubwa za migodi na mafuta.
c9460622cfc988dba9015afc76de175b.jpg

3f73fabcd9be30971e54cec6cec7b21f.jpg

95b1ef12291ef18325d4521e05c39c0e.jpg

Sijui kama Tz tuna team yenye negotiator wazuri, kujua sheri tuu hakutoshi sisi kudeal na hao jamaa.

Kwenye website page ya BGC jamaa yupo kwenye management kama CEO yaani chief operating officer..

Yeye ndio mzee wa strategy! Na wamemleta sasa kudeal na kina Prof . Palamagamba..

All the best Tz..
Shukrani mkuu
 
TOP TEN
Wakati bwana yule akiwa na mgogoro na Wazungu kuhusu madini wakishindwa kupatana wataingia vitani kwa kupigana mabomu au vita ya uchumi ya kimyakimya
Sitaki kujifanya na kiherehere kuhusu suala hilo maana sio nia yangu
Vitaisikievkwacjirani tu ni mbaya husababisha vilema na mauti ...kilichotokea Rwanda wakati wa mauaji ya Kimbari kila mtu anajua
Sasa leo tuangalie vita kumi za kibabe zilizosababisha vifo vingi duniani
Hakuna cha Vita ya Majimaji wala Vita ya Kagera

Karibuni
............
 
10/Napoleonic Wars
4b2b2b1d3a78432846e0fdbcef02e007.jpg
7e5cd39e1ed098436086801b8bcff868.jpg
b5930faf7ea037ce8530422086382b21.jpg

Vita hii ilipiganwa kuanzia mwaka 1803 hadi mwaka 1815 (mwanzoni mwa karne ya 19)
Ilipigwa huko Ulaya na kusambaa zaidi kwenye bahari za Hindi,Atlantiki na Pasifiki
Huu ulikuwa ni mfululizo wa vita dhidi ya Napoleon Empire
Chimbuko lake lilianzia kwenye French Revolution 1789 sasa Dola ya Ufaransa taratibu ikaanza kupoteza nguvu dhidi ya Napoleon nahivyo kuzidiwa
Wafarabsa waliivamia Urusi mwaka 1812 na hapo himaya ya Napoleon ikapokea kichapo na nguvu yake kijeshi ikapungua

Watu takribani 7,000,000 walipoteza maisha
..........
 
9/Russian Civil War
244d9f0928ffb60e1eef235e0c79e641.jpg
c132c627f6ed4bd6714ade126f707aa7.jpg
496c0ad0a6d533eff440902eafa641ac.jpg

Hii ilikuwa vita ya wenyewe kwa wenyewe huko Soviet
Ilipiganwa kuanzia mwaka 1917 hadi walipochoka nwaka 1921
Vita iluanza baada ya Serikali ya Urusi kuvunjika na hapo Russian Empire kuanza kuanguka ilikuwa chini ya Bolshevik Party
Sasa jeshi likachukua madaraka jwa nguvu likuanzia huko Petrograd sikubhizi inaitwa St. Petersburg
Mwisho wa siku wakaikamata Urusi nzima na hapo ndo mauaji yalipokuqa yanafanyika....si mnazijua akili za wajeda bhana wakishapiga vitu vyao

Vita hii ilisababisha vifo vya Warusi 9,000,000
........
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom