Makapuku Forum

Makapuku Forum

b0084296141c97b9c1029a82cbf05f86.jpg
 
Ooooh! Richard williams..!
4c2ddcbab6d602a9c548674c2a9aa801.jpg

Richard williams..!

Who is Richard williams

Richard Williams alizaliwa Nchini Africa kusini ila akaenda kusoma nchini Uk .

Baada ya masomo RW ( Richard williams) alijiunga na jeshi la Uk katika kikosi cha Parachut Regiment.

Baada ya hapo aliingia SAS (special Air Service) katika 7th Armoured Brigade akiwa kama Chief of Staff.

Amefanya kazi pia kama Director Staff wa joint service command na staff college.

RW ameshiriki operations nyingi kama north Ireland, Bosnia , south america, macedonia , kosovo, west Africa, iraq, afghanistan na lebanon.

He is good in Conflict resolutions and peace making.

RW amestaafu akiwa na cheo cha LC ( lietenant Colonel) ana shahada ya sayansi ya uchumi, shahada ya uzimivu ya masuala ya kijeshi na ulinzi.

Ana tuzo mbalimbali kama Queen's recommandation for valuable service in SA 1996. SEMA group prize 1999. Na zingine kibao..

Sasa Barrick Gold corporation (BGC) wameamua kuja na RW kwanza kwa sababu ni mtu mwenye uzoefu na conflict resolutions..jamaa ni mzeofu wa kutupwa. Lakkini pia toka astaafu jeshini amekuwa anafanya kazi na kampuni kubwa za migodi na mafuta.
c9460622cfc988dba9015afc76de175b.jpg

3f73fabcd9be30971e54cec6cec7b21f.jpg

95b1ef12291ef18325d4521e05c39c0e.jpg

Sijui kama Tz tuna team yenye negotiator wazuri, kujua sheri tuu hakutoshi sisi kudeal na hao jamaa.

Kwenye website page ya BGC jamaa yupo kwenye management kama CEO yaani chief operating officer..

Yeye ndio mzee wa strategy! Na wamemleta sasa kudeal na kina Prof . Palamagamba..

All the best Tz..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom