Makapuku Forum

Makapuku Forum

Funguka sasa! Maana kwa muktadha wa wabunge kulipwa sitting allowance vivyo hivyo na kwenye haya makitu tuko mbioni kudai dating allowance kwa wenye muwekezaji zaidi ya mmoja! Ongeza danga upate ruzuku zaidi!
Duuh una sound hadi basi!
 
Basi sawa, staki kumuudhi dadangu

Kesi ni ndogo hii hakuna hata sababu ya kuipeleka mahakama ya mwanzo kama ni dada wewe unaunganisha tu unapewa connection allowance na ukimsindikiza mara moja moja kwenye mitoko unaambulia escorting allowance! Na kama utaambatana na washkaji zako wote watapata listening allowance!
 
Kesi ni ndogo hii hakuna hata sababu ya kuipeleka mahakama ya mwanzo kama ni dada wewe unaunganisha tu unapewa connection allowance na ukimsindikiza mara moja moja kwenye mitoko unaambulia escorting allowance! Na kama utaambatana na washkaji zako wote watapata listening allowance!
Mkuu nasikitika sina shida ndogo ndogo ka hizo, pambana mwenyewe, ukiweza ntawapa zawadi ya nyumba, mtachagua ni mkoa upi mnapendelea kuishi au kumiliki
 
Mkuu nasikitika sina shida ndogo ndogo ka hizo, pambana mwenyewe, ukiweza ntawapa zawadi ya nyumba, mtachagua ni mkoa upi mnapendelea kuishi au kumiliki

Shemeji akikupa mali kwa kumwolea dadake shituka, fanya utafiti upya yumkini unayetaka kuoa ndiye sura mbaya wa familia..utapata unyonge siku ya harusi pale wadogo zake watakapokuja kuku 'waoh' jamani shemejiiiiiiii....raha sana!
 
Shemeji akikupa mali kwa kumwolea dadake shituka, fanya utafiti upya yumkini unayetaka kuoa ndiye sura mbaya wa failia..utapata unyonge siku ya harusi pale wadogo zake watakapokuja kuku 'waoh' jamani shemejiiiiiiii....raha sana!
Zawadi ni jadi yetu, vilevile kila mtu ni mzuri kwao, sisi hatuna mzuri kuzidi meingine, wote wana hadhi sawa kwani muumba ni mmoja,
Nawe umechagua kwa roho yako, ukishindwa wengine wanajigonga watabeba, hii ni biashara ya kauzu hajui kuremba
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom