Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,935
- 96,100
Poa poa nakausha ili wasishtukieHahahaha.
Nivungie mkuu.
Poa poa nakausha ili wasishtukieHahahaha.
Nivungie mkuu.
Yeah wasijue.Poa poa nakausha ili wasishtukie
Zawadi zisizoeleweka mi walaaaUkiletewa kama zawadi hamna namna inabidi tu ulipendee
Acha mbwembwe ww
Mi nimetoa povu au nilikuwa nawanyamazisha vidomodomo wanazi wa Man utd
kwanza ht Manyau tufungwe 10 huwa sijali
RUDI KASOME UPYA
...................
Nahrene ndo basi tena.Cc Nahrene manake sio kwa kibuti hiki
Shikamoo lakini...huo ndo ukubwa!
Huu ndo muda wenyewe,yaani ukitupa nyavu baharini unavua mpaka kobe.![]()
![]()
![]()
![]()
usingizi kumbe umeshaisha na sasa unataka kwenda kuvua baharini??
AiseeeHuu ndo muda wenyewe,yaani ukitupa nyavu baharini unavua mpaka kobe.

teh teh tehAu la mganga wa kienyeji![]()
![]()
Marhabaaa kwa niaba ya Bitoz
Asante & Amen
Mi sio mama mtumishiHaya mama mtumishi!
Nimemuacha rasmi kuanzia sasa.
Sitaki tena kuulizwa maswala ya huyu mwanamke.
**________It's over_____*
brother uliona vinaelea bila kujua vimeundwa..
Ndio mkuu nataka nawe uhisi ni sehemu ya familia hiimajukum!?
hapo ni kipindi akiwa kuruta na kipindi tayari ameshakuwa askariSio mtu m1
...........
Naonya unyemelezi tena