Makapuku Forum

Makapuku Forum

Zawadi ni jadi yetu, vilevile kila mtu ni mzuri kwao, sisi hatuna mzuri kuzidi meingine, wote wana hadhi sawa kwani muumba ni mmoja,
Nawe umechagua kwa roho yako, ukishindwa wengine wanajigonga watabeba, hii ni biashara ya kauzu hajui kuremba

Ha ha haaa ndugu/bwana/prof shemeji.. nitafanya upembuzi yakinifu kwa kuwa ni dhahiri sasa nipo kwenye mpango mkakati wa kurasimisha hili suala ili kukabiliana na changamoto za Milenia!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom