Makapuku Forum

Makapuku Forum

10/Zhongyuan Tower
0fb881ded16ffde2e7199cef283aa1a2.jpg
ea9ff670dd138ad32cd8954e61ac38d6.jpg

Unapatikana Zhengzhou katika jimbo la Henan nchini China
Unaaminika kuwa ndio mnara mrefu zaidi duniani uliotegenezwa jwa vyuma.....ikumukwe hata Elfelt tower huko Paris umetengenezwa kwa vyuma na ndo chanzo cha jamaa fkani hivi kuwatapeli wafanyabiashara wakubwa kwa kuwadanganya kuwauzia ili wapate vyuma
Sasa tuendelee.....mnara huu ujenzi wake ulikamilika mwaka 2011 na ndo ukawa mnara mrefu zaidi wa chuma hadi pale mwingine ulipojengwa Tokyo Japan
Mnara huu una migahara takribani 200 ya kuhudumia wageni/watalii
Hutumika pia kurushia matangazo ya luninga

Una urefu wa futi 1,273
.........
 
9/China Central Radio & TV Tower
802dfedbcfa8532c307e54fca8f1a7b2.jpg
e761b8da9384ea010640677466b18cf0.jpg

Zamani wakati TBC ya bongo ikiitwa TVT wenyewe ulijulikana kama CCTV Tower kisha baadaye kidogo ukaitwa Beijing Tv Tower
Ndio mnara mrefu zaidi jijini Beijingyaani ukipanda juu unajioneea jiji vizuri kabisa bila kwere
Ulianza kujengwa mwaka 1987 na ujenzi kukamilika mnamo mwaka 1992
Huu ni mnara maaumu kwa ahili ya mawasiliano na kurushia matangazo ya luninga na Radio nchiniChina

Una urefu wa futi 1,329
.......
 
10/Zhongyuan Tower
0fb881ded16ffde2e7199cef283aa1a2.jpg
ea9ff670dd138ad32cd8954e61ac38d6.jpg

Unapatikana Zhengzhou katika jimbo la Henan nchini China
Unaaminika kuwa ndio mnara mrefu zaidi duniani uliotegenezwa jwa vyuma.....ikumukwe hata Elfelt tower huko Paris umetengenezwa kwa vyuma na ndo chanzo cha jamaa fkani hivi kuwatapeli wafanyabiashara wakubwa kwa kuwadanganya kuwauzia ili wapate vyuma
Sasa tuendelee.....mnara huu ujenzi wake ulikamilika mwaka 2011 na ndo ukawa mnara mrefu zaidi wa chuma hadi pale mwingine ulipojengwa Tokyo Japan
Mnara huu una migahawa takribani 200 ya kuhudumia wageni/watalii
Hutumika pia kurushia matangazo ya luninga

Una urefu wa futi 1,273
.........

Twende nyangema
 
TOP TEN
Nikiwa mdogo kevel ya darasa la kwanza dingi alinipigisha misele pande za katikati ya Jiji enzi hizo vidaladala vikitawala
a19ffd6c9866aa20ffc0973a062a8db6.jpg

Katika shangaa shangaa namuona njemba kashika bunduki hivyo nikataka kujificha ila dingi ananiambia nisiogope ni sanamu tu ......ndo nembo ya jiji la Bashite

Kwa wakristo Mnara wa Babeli ndo maarufu ili sijajua kama upo/ulikuwepo agu fix tu na umechorwa kibblia.....mimi sijui

Sasa leo tuangalia minara kumi mirefu zaidi duniani
Kwa Waafrika inaonekana kama ni matumizi mabaya ya pesa yaani ujenge mnara wakati watu wanalala njaa.....umaskini bhana

Mita 1 = Futi 3.3
Karibuni
.........
Twende kazi Bitoz nyangema
 
Nawashukuruni mnoo kwa umoja wenu jamanii..

Lee Asante natambua umuhimu wako kwangu, Shunie wewe ndo bega langu wakati wa kulia kwangu... Unajua venye Nakupenda mdogo wangu.... Tumoo na shululu natambua umuhimu wenu mpaka nikinuna mwajua... Nyagei you're the best, we ndo mlinzi wangu.... Mzeewakungoa na Bitoz nashukuru kwa kampani yenu na kujali pia...

Husna na JJ natambua uwepo wenu kuniombea mama mchungaji popote ulipo Nakupenda mamangu.... Sala zako zinafika kwa wakati!!!!

T wangu sio kwamba nimekusahau... Wewe ni wangu tuu.. Mr Obe Ubarikiwe mnoo jamanii jana nimepata nyimbo zakooo.... Wana kapuku kwa ujumla... Nawapenda...

Till next time....

Muwe na jioni muruaaaa

Nashukuru sana madam Sakayo
I do my best for you and all
 
8/Tianjin Radio & Television Tower
77fd72790a42cbbe400105c2cad2a81a.jpg
89b4bb20e1acc2a6b9ab09ded1c0a727.jpg

Wachina bhana wanaendelea kutamba tu kama kawaida yao labda kweye list y watu wenye macho makubwa tu ndo hawatakuwepo !!! Jamaa wanakaribia kuiebdesha dunia
Huunimnara mwingine wa mawasiliana(kurushia matangazo) ya luninga na Radio huko nchini China
Umehengwa mwaka 1991 huko Teinjin na kuliangaza jiji zima
Ujenzi wako uligharimu USD 45 Milion
Theluthi mbili ya mnara ni observation pod ambayo inaukubwawa mita za mraba 253

Una urefu wa futi 1,362
.......
 
TOP TEN
Nikiwa mdogo kevel ya darasa la kwanza dingi alinipigisha misele pande za katikati ya Jiji enzi hizo vidaladala vikitawala
a19ffd6c9866aa20ffc0973a062a8db6.jpg

Katika shangaa shangaa namuona njemba kashika bunduki hivyo nikataka kujificha ila dingi ananiambia nisiogope ni sanamu tu ......ndo nembo ya jiji la Bashite

Kwa wakristo Mnara wa Babeli ndo maarufu ili sijajua kama upo/ulikuwepo agu fix tu na umechorwa kibblia.....mimi sijui

Sasa leo tuangalia minara kumi mirefu zaidi duniani
Kwa Waafrika inaonekana kama ni matumizi mabaya ya pesa yaani ujenge mnara wakati watu wanalala njaa.....umaskini bhana

Mita 1 = Futi 3.3
Karibuni
.........
Asante
 
10/Zhongyuan Tower
0fb881ded16ffde2e7199cef283aa1a2.jpg
ea9ff670dd138ad32cd8954e61ac38d6.jpg

Unapatikana Zhengzhou katika jimbo la Henan nchini China
Unaaminika kuwa ndio mnara mrefu zaidi duniani uliotegenezwa jwa vyuma.....ikumukwe hata Elfelt tower huko Paris umetengenezwa kwa vyuma na ndo chanzo cha jamaa fkani hivi kuwatapeli wafanyabiashara wakubwa kwa kuwadanganya kuwauzia ili wapate vyuma
Sasa tuendelee.....mnara huu ujenzi wake ulikamilika mwaka 2011 na ndo ukawa mnara mrefu zaidi wa chuma hadi pale mwingine ulipojengwa Tokyo Japan
Mnara huu una migahara takribani 200 ya kuhudumia wageni/watalii
Hutumika pia kurushia matangazo ya luninga

Una urefu wa futi 1,273
.........
Aisee
 
7/Kuala Lumpur Tower
a3014c4f1ec1ada21e2489d28e090338.jpg
41f0973269c31bdd52eadbff9adac733.jpg

Unapatikana jijini Kuala Lumpur nchini Malaysia pia ukisema Malaya hujakosea ila kwao sio tusi
Ulijengwa na kukamilika mwezi Machi mwaka 1995
Kileleni kuna antena ya kunasia/kurushia matangazo na kuufabya kuwa na urefu wa mita 421
Una lifti/ngazi(ekevator) ya kumwezesha myu kufika adi juu kwa urahisi kabisa
Ndio mnara mrefu zaidi Kusini mwa bara la Asia

Una urefu wa futi 1,381
.....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom