Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
Nitajitahidi kuchungulia mkuuBila nasi tunafurahia uwepo wako
Pindi ukikosekana hapachangami kivile
....
Nitajitahidi kuchungulia mkuuBila nasi tunafurahia uwepo wako
Pindi ukikosekana hapachangami kivile
....
Le papaaNawasalimuni wapendwa.....![]()
Angalia pm yakoNdioo
10/Zhongyuan Tower![]()
![]()
Unapatikana Zhengzhou katika jimbo la Henan nchini China
Unaaminika kuwa ndio mnara mrefu zaidi duniani uliotegenezwa jwa vyuma.....ikumukwe hata Elfelt tower huko Paris umetengenezwa kwa vyuma na ndo chanzo cha jamaa fkani hivi kuwatapeli wafanyabiashara wakubwa kwa kuwadanganya kuwauzia ili wapate vyuma
Sasa tuendelee.....mnara huu ujenzi wake ulikamilika mwaka 2011 na ndo ukawa mnara mrefu zaidi wa chuma hadi pale mwingine ulipojengwa Tokyo Japan
Mnara huu una migahawa takribani 200 ya kuhudumia wageni/watalii
Hutumika pia kurushia matangazo ya luninga
Una urefu wa futi 1,273
.........
Twende kazi Bitoz nyangemaTOP TEN
Nikiwa mdogo kevel ya darasa la kwanza dingi alinipigisha misele pande za katikati ya Jiji enzi hizo vidaladala vikitawala![]()
Katika shangaa shangaa namuona njemba kashika bunduki hivyo nikataka kujificha ila dingi ananiambia nisiogope ni sanamu tu ......ndo nembo ya jiji la Bashite
Kwa wakristo Mnara wa Babeli ndo maarufu ili sijajua kama upo/ulikuwepo agu fix tu na umechorwa kibblia.....mimi sijui
Sasa leo tuangalia minara kumi mirefu zaidi duniani
Kwa Waafrika inaonekana kama ni matumizi mabaya ya pesa yaani ujenge mnara wakati watu wanalala njaa.....umaskini bhana
Mita 1 = Futi 3.3
Karibuni
.........
Nawashukuruni mnoo kwa umoja wenu jamanii..
Lee Asante natambua umuhimu wako kwangu, Shunie wewe ndo bega langu wakati wa kulia kwangu... Unajua venye Nakupenda mdogo wangu.... Tumoo na shululu natambua umuhimu wenu mpaka nikinuna mwajua... Nyagei you're the best, we ndo mlinzi wangu.... Mzeewakungoa na Bitoz nashukuru kwa kampani yenu na kujali pia...
Husna na JJ natambua uwepo wenu kuniombea mama mchungaji popote ulipo Nakupenda mamangu.... Sala zako zinafika kwa wakati!!!!
T wangu sio kwamba nimekusahau... Wewe ni wangu tuu.. Mr Obe Ubarikiwe mnoo jamanii jana nimepata nyimbo zakooo.... Wana kapuku kwa ujumla... Nawapenda...
Till next time....
Muwe na jioni muruaaaa
koncho77 upo poaMkuu na huku upo pia?
Mucha graciousYes Mr Nyagei
Sent from my iPhone 5s using Tapatalk
AsanteTOP TEN
Nikiwa mdogo kevel ya darasa la kwanza dingi alinipigisha misele pande za katikati ya Jiji enzi hizo vidaladala vikitawala![]()
Katika shangaa shangaa namuona njemba kashika bunduki hivyo nikataka kujificha ila dingi ananiambia nisiogope ni sanamu tu ......ndo nembo ya jiji la Bashite
Kwa wakristo Mnara wa Babeli ndo maarufu ili sijajua kama upo/ulikuwepo agu fix tu na umechorwa kibblia.....mimi sijui
Sasa leo tuangalia minara kumi mirefu zaidi duniani
Kwa Waafrika inaonekana kama ni matumizi mabaya ya pesa yaani ujenge mnara wakati watu wanalala njaa.....umaskini bhana
Mita 1 = Futi 3.3
Karibuni
.........
Aisee10/Zhongyuan Tower![]()
![]()
Unapatikana Zhengzhou katika jimbo la Henan nchini China
Unaaminika kuwa ndio mnara mrefu zaidi duniani uliotegenezwa jwa vyuma.....ikumukwe hata Elfelt tower huko Paris umetengenezwa kwa vyuma na ndo chanzo cha jamaa fkani hivi kuwatapeli wafanyabiashara wakubwa kwa kuwadanganya kuwauzia ili wapate vyuma
Sasa tuendelee.....mnara huu ujenzi wake ulikamilika mwaka 2011 na ndo ukawa mnara mrefu zaidi wa chuma hadi pale mwingine ulipojengwa Tokyo Japan
Mnara huu una migahara takribani 200 ya kuhudumia wageni/watalii
Hutumika pia kurushia matangazo ya luninga
Una urefu wa futi 1,273
.........



ni fresh baba sakayo aisee
Siku nyingi tuMkuu na huku upo pia?
Ahaha vipi Sakayo...ulipotelea wapi DadaJose
Shikamoo
Ooooops!Taratibu ujue