Makapuku Forum

Makapuku Forum

PM ni nini tena anko, kuna member mpya anaitwa pm jamani? Mbona mimi ninakuwa wa mwisho kujua mammbo mazuri mazuri? na kwani huyu pm asifunguliwe, nani kamfungia nje?
Ooooooh ngoja nikukumbusheee ....

pm ni mchepuko wake yaaani partner of Mondray ambaye na wewe una vigezo vya kukaba hiyo nafasiiiii

N.B sikupigii debe pambana na hali yakoo
 
Hivi ulisema list yako ndo yangu ..??

Maana kwa sasa list yako hiko hivii

649228d83c612f59d9da8fdba56fb34d.jpg


Tumuongeze nan hapo ??
Aisee
 
....yaani unamsifu mtu ambaye anakuwa mwaminifu kwa mtu mmoja tu? Lol, kimaadili timilifu ukiwa mwaminifu kwa mtu mmoja huwezi kuwa mwaminifu.

Kuwa mwaminifu ni lazima uwe mwaminifu kwa wengi..

Serious Note: Haya maneno ya juu sijaandika mimi, msijenipakazia kwa la habibti wangu. simu iko nachaji kwenye kibanda cha mpesa
Cc shemela shunie
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom