Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,400
- 465,167
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na uzee huo aisee babu poleMzeewakungoa... Lakini siombi msaada
Na babu yako kakiri
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na uzee huo aisee babu poleMzeewakungoa... Lakini siombi msaada
Na babu yako kakiri
Amen[emoji524] Kumcha Bwana ni chanzo cha maarifa, bali wapumbavu hudharau hekima na adabu
Mwanangu yasikilize mafundisho ya Baba yako, wala usiache sheria ya mama yako
Kwa maana hayo yatakuwa kilemba cha neema kichwani pako na mikufu shingoni mwako [emoji524]
MITHALI;7:9
Muwe na usiku mwema mlindwe na damu ya Yesu [emoji120]
Haitaji msaada[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na uzee huo aisee babu pole
Ndo maana nataka niende kwa Mchina[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na uzee huo aisee babu pole
Pambana na hali yako babu aiseeHaitaji msaada
Ndo maana nataka niende kwa Mchina
Sawa mkuuYa 34 mpaka 36
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na uzee huo aisee babu pole
Haitaji msaada
Tukutane kesho wadauNdo maana nataka niende kwa Mchina
Au ndo umeniletea zawadi ya lile robot Mjukuu wangu?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na uzee huo aisee babu pole
Absolutely![]()
See food is best for your health.
Sina taarifaNeyma anaenda PSG, wameishakubaliana bei
We Mjukuu wangu kuwa na huruma.. Niletee lile robot nyumbani.Pambana na hali yako babu aisee
Same to youTukutane kesho wadau
Niwatakie Usiku mwema
........
Namuona Mondray[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kazi kwenu msiokuwa na wake aisee robot hilo![]()
Na kwako pia BitozTukutane kesho wadau
Niwatakie Usiku mwema
........
Cuzoo mzima jamanSawa mkuu
Jipange tafuta hela ununue hilo babu au unatumiaga geisha babyAu ndo umeniletea zawadi ya lile robot Mjukuu wangu?
Litafute online huko ununue kama limeshatengenezwaWe Mjukuu wangu kuwa na huruma.. Niletee lile robot nyumbani.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Namuona Mondray