Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Na watoto fake kama wa shululuHuku Baba D ni ma avatar fake tu mpenzi
Na watoto fake kama wa shululuHuku Baba D ni ma avatar fake tu mpenzi
Marahaba Mjukuu mweeCjambo shkamo babu
Ahaaaaaaah ....



ndio mana hawawezi kuwabadili Na watoto fake kama wa shululu
Na hapo kama picha walitoa instagram kukumbuka ac hipi si mchezoondio mana hawawezi kuwabadili
Na hapo kama picha walitoa instagram kukumbuka ac hipi si mchezoo



na itakuwa kazipata insta tu labda kama hiyo acc kaifollow mke mwee
Sio hile ya cute babies ?na itakuwa kazipata insta tu labda kama hiyo acc kaifollow mke mwee
Ahahha Baba D sijui umewaza nini ujue itakuwaSio hile ya cute babies ?
Ebhu tuache wasiniweke kwenye listAhahha Baba D sijui umewaza nini ujue itakuwa
Shemela shululu akija atasema tuna majunguEbhu tuache wasiniweke kwenye list
Una utani na madengekazi kwenu msiokuwa na wake aisee robot hilo
![]()
Baba D me sijataja mtu ujue Bitoz hana mke na husna je aliyesahau handbagUna utani na madenge
Ndo maaana binamu alikuandika kwa makapeniiBaba D me sijataja mtu ujue Bitoz hana mke na husna je aliyesahau handbag
Ahahha na mie nimemwandika pia yupo kwa list ya wabaya wanguNdo maaana binamu alikuandika kwa makapenii
Kwa hiyo ngomaa droooAhahha na mie nimemwandika pia yupo kwa list ya wabaya wangu
Halaf ujue me na binamu tumeshamaliza tofauti zetu sema naona unataka kuturudisha nyuma ili nisielewane na binamu obeKwa hiyo ngomaa drooo
Mmmmmh mbona sasa unamchonganisha na mpendwa wakeeHalaf ujue me na binamu tumeshamaliza tofauti zetu sema naona unataka kuturudisha nyuma ili nisielewane na binamu obe
Ebu nikumbushe jamaan kwani niliongea nini etiMmmmmh mbona sasa unamchonganisha na mpendwa wakee