Shemela za uzima, familia haijamboMorning too shemela
Familia yangu haijambo kabisa shemela sijui huko wakina jj na mama yao jaman mwambie mke mwee nimemmiss jamanShemela za uzima, familia haijambo
Huwa sidownload maana simu itajaaUlifanikisha kuipakua ile movie ya The Army Soldier?
Ukipenda ua penda na boga lakeeKutokana na story zenu we na anko inaonekana mama ashura ni wako anko wako yuko na mdogo wake ma ashura hapo bado ile michepuko mingine ,
Such as yule baamedi,nesi maria,mama ntilie, na wengineo
Ila pamoja na hayo
I'M STILL LOVE YOU
Vizuri, haijambo kabisa Salam zimefikaFamilia yangu haijambo kabisa shemela sijui huko wakina jj na mama yao jaman mwambie mke mwee nimemmiss jaman
Ooooooh leoo imekuwa ndefuuu....make badooo sana mpaka tufike mwakan hii ni isidingoNawaza tu hapa huyu mwanamke anaevaa nikabu anaweza kuwa dr asha baba d asante sana story ndefu mpaka raha
Asante mama angu shunieEe Bwana unihukumu, unitetee kwa taifa lisilo haki, uniokoe na mtu wa hila asiye haki
Kwa nini ninakwenda nikihuzunika adui wakinionea
Niletewe nuru yako na kweli yako ziniongoze, zinifikie kwenye mlima watakatifu na hata maskani yako
Hivyo nitakwenda madhabahuni kwa Mungu, kwa Mungu aliye furaha yangu na shangwe yangu, nitakusifu kwa kinubi, Ee Mungu, Mungu wangu, nafsi yangu, kwa nini kuinama na kufadhaika ndani yangu?
Umtumaini Mungu, kwa maana nitakuja kumsifu aliye afya na uso wangu, Mungu wangu![]()
ZABURI:43:1:5
Mshkuruni Mungu sana kwa kuwaamsha salama kama kuna wagonjwa Mungu awaponye mbarikiwe sana muwe na asubuhi iliyo njema![]()
NshamshindwaaMamaa wa viporo aise
Morning mama Devy...umemuonaa bangii zakee lakin kwa dpBaba D morning
Nakuonaaa nakuonaaa. ..mpendwa mchepuko wa binamu
mchepuko??!!!!!