Makapuku Forum

Ee Bwana unihukumu, unitetee kwa taifa lisilo haki, uniokoe na mtu wa hila asiye haki

Kwa nini ninakwenda nikihuzunika adui wakinionea

Niletewe nuru yako na kweli yako ziniongoze, zinifikie kwenye mlima watakatifu na hata maskani yako

Hivyo nitakwenda madhabahuni kwa Mungu, kwa Mungu aliye furaha yangu na shangwe yangu, nitakusifu kwa kinubi, Ee Mungu, Mungu wangu, nafsi yangu, kwa nini kuinama na kufadhaika ndani yangu?

Umtumaini Mungu, kwa maana nitakuja kumsifu aliye afya na uso wangu, Mungu wangu


ZABURI:43:1:5
Mshkuruni Mungu sana kwa kuwaamsha salama kama kuna wagonjwa Mungu awaponye mbarikiwe sana muwe na asubuhi iliyo njema
 
Amen
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…