Husna Muba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 14,524
- 44,585
Kumbe huo ndio ubora wakeObe katika ubora wake
Mnunulieni na bando basiAsantee binamu ...
Naomba uniwekee V Bozeman - what is love ....kwa kipenzi cha roho yangu
Sawa mniombeeUtaweza tu
Cc.obeMuulize mpendwa wako?
Sister pRah P
Mamaa wa viporo aisehapo hapo alipopatumia ndio pazuri
Shemela shululu umesikia sio mie ni mpendwa wa binamuHata awe tukunyema km mama ashura ye twende tu
Baba D morningNakuonaaa nakuonaaa. ..mpendwa mchepuko wa binamu
Wooooooooza in Baba D's voiceKutokana na story zenu we na anko inaonekana mama ashura ni wako anko wako yuko na mdogo wake ma ashura hapo bado ile michepuko mingine ,
Such as yule baamedi,nesi maria,mama ntilie, na wengineo
Ila pamoja na hayo
I'M STILL LOVE YOU
AmenEe Bwana unihukumu, unitetee kwa taifa lisilo haki, uniokoe na mtu wa hila asiye haki
Kwa nini ninakwenda nikihuzunika adui wakinionea
Niletewe nuru yako na kweli yako ziniongoze, zinifikie kwenye mlima watakatifu na hata maskani yako
Hivyo nitakwenda madhabahuni kwa Mungu, kwa Mungu aliye furaha yangu na shangwe yangu, nitakusifu kwa kinubi, Ee Mungu, Mungu wangu, nafsi yangu, kwa nini kuinama na kufadhaika ndani yangu?
Umtumaini Mungu, kwa maana nitakuja kumsifu aliye afya na uso wangu, Mungu wangu
ZABURI:43:1:5
Mshkuruni Mungu sana kwa kuwaamsha salama kama kuna wagonjwa Mungu awaponye mbarikiwe sana muwe na asubuhi iliyo njema
Mkuu shululu nimeona moja ya vyanzo vyako vya mapato nakupauwekezaji mzuri
USIKU MWEMA
Siutaki ulinzi