Obe
Platinum Member
- Dec 31, 2007
- 10,282
- 35,645
Mama ashura anavyo
...mpenzi wangu ambaye ni mpendwa wangu wa nguvu. Ni wewe ndo unanifanya nipumue, yaani ukiandika machache nahisi kama unanikumbatia na kunifanya niwe kamili na ukiandika mengi najiona niko kando ya mto natizama maji yakitiririka na kuupoza moyo wangu.
Usimsikilize aunt yangu, mambo ya mama Ashura yanamuhusu mumewe. Mimi na wewe tu
Nimekukimbilia wewe Bwana nisiaibike milele kwa haki yako uniponye
