Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,081
- 464,013
Ahhahah binamu ungenipa tu hamna shida ningemtafutiaNaona umefanya fasta kuzipata maana nilitaka nimpe simu yako aunt avitafute
Ahhahah binamu ungenipa tu hamna shida ningemtafutiaNaona umefanya fasta kuzipata maana nilitaka nimpe simu yako aunt avitafute
Ndio mana nakupenda baba d wanguHakuna aliyenituma niandikee ...waachee wanengenekweee


Jidenna yuko vzr chapombe yule ukiacha Bambi anakimbiza na jisong lingine linaitwa classic men!Asante binamu yangu ndio mana nakupenda ya kwanza inaitwa bambi ya kwake jidenna ya pili mad over you ya runtown nakupenda binamu yangu
Muziki wa Wadhamini
Kuna muziki na wanamuziki ukiambiwa wapo unaweza bisha lakini ukisikilizishwa nyimbo zao basi utagundua kuwa hujui mengi. Ndo inavyotokea kwangu na hii ni sababu tosha kabisa ya kuwa hapa na kama Fid Q anavyosema, usijue mengi bali jifunze mengi. Asante Shunie kwa wimbo wa Jidenna uitwao Bambi. Ni mzuri na japo jamaa ni kutoka US of A lakini anachanganya mipigo fulani hivi ya Kinaijeria na utapenda muziki wake. Chaguo la kwanza hilo, kumbuka yapo mawili
Nitaitafuta hiyo sijawahi isikiaJidenna yuko vzr chapombe yule ukiacha Bambi anakimbiza na jisong lingine linaitwa classic men!
Hamna mtu wa kupondaIla Baba D ujiandae aisee kwa ule uzi wengine wataponda kwa nini umeandika uzi ndio mambo ya jf Baba angu
AiseeAhhaha nimeona binamu asante sana
Haya sasaNaona umefanya fasta kuzipata maana nilitaka nimpe simu yako aunt avitafute
Unawajua watu wa mmu shemela we fatilia uzi huoHamna mtu wa kuponda
Mmh baba d mbona mnatumia majina yana fanana ndio wote wapenzi wa empireKapuku muwe na usiku mwema
Mmh baba d mbona mnatumia majina yana fanana ndio wote wapenzi wa empire
Mmh baba d mbona mnatumia majina yana fanana ndio wote wapenzi wa empire
Unaona eeh?Lol
Kila mtu busy
HayaUnawajua watu wa mmu shemela we fatilia uzi huo
Ahahaaaaaaa nakuonaaa brooShemu mimi hapa kivuruge huyo achana nae
NapitaaaAhahaaaaaaa nakuonaaa broo
Mtaniua mjueShemu mimi hapa kivuruge huyo achana nae
