Makapuku Forum

Makapuku Forum

f73724db7fd6d37d4ba1c0e8b591cfae.jpg

Chat chat chat
Lol
Kila mtu busy
 
10/Ronald"Ronnie" & Reginald"Reggie" Kray
9e1d6fb6d17130d885085423061c3464.jpg
9e9e4359af5e318aabb9dd1303e76da6.jpg

Hawa mapacha waliishi maishi ya kijanjajanja tu
Hawa umaarufu wao umetokana na tabia yao ya utapeli,wizi, mauaji,ukabaji na kila aina ya upuuzi waliokuwa wakiufanya katika kitongoji cha East End London mahali walipokuwa wakiishi miaka ya 1950 na 1960'
Pamoja na uhalifu wao huo waliofanya kwa kificho waliweza kumiliki klabu ya usiku na hivyo kifahamiana na mastaa kibao na hivyo kupata shavu kwenye vyombo vya habari na pia kupiga assist kwa mastaa

Mwaka 1968 walitiwa mbaroni na kutupwa jela maisha
..............
Wazee wa assist
 
8/Charlie & Craig Reid
a5c4d382206791ae601fffc190074c20.jpg
027bdec83d7e307f8dc64cdc7066eeb0.jpg

Walizaliwa Machi 5 mwaka 1962Hawa walikuwa na bendi yao waliyoiita The Proclaimers ambayo waliianzisha mwaja 1983 wakiwa na miaka 19 tu
d219f166d534eeea82bc9e21c8f57c37.jpg

Walitikisa sana miaka ya 1980 na kibao chao cha I am Gonna Be 500 Miles :
I'm Gonna Be
(500 Miles)

.......,..,..

Hawa walikuwa na vipaji aisee
 
2/Ronde & Tiki Barber
750d49a83059113b2ae6ecec367007d3.jpg
2704187712f956548b63e94c565fff78.jpg

ca7fa58d8de8820934cedbab45eed4d6.jpg
Walizaliwa April 7 mwaka 1975 huko kwa Donald Trump au ukipenda sema ISA baby
Hawa ni wacheza mpira wa Marekani American Football
Ronde Barber anachezea Tampa Bay wakati Tiki anachezea New York Giants...
Wanafansna kama Rafael & Fabio Da Silva walipokuwa Manchester United na kuwachanganya makocha,marefa,wachezaji wenzao na mashabiki
Wakati wakichezea timu moja ilikuwa ni balaa kuwatofautisha

............
 
4/Billy &Benny Loyd McCrary
a0bcae50d99cec9e86f21c19963e802d.jpg
261cd2559f27c06fcbddbb33bf21dcd0.jpg
8b4c30dde7a5ac2a230cc8a7e115fb5e.jpg

Walizaliwa Disemba 7 1946
Hawa ni mapacha wanaoshikilia rekodi ya kuwa mapacha vibonge zaidi kuwahi kutokea duniani
Walikuwa na uzito wa jumla wa Paundi 1468 (Kg 670+)
Mmoja alifariki wakati wakiendesha pikipiki ya pamoja(pikipiki pacha) mwaka 1979.....walipendelea kuendesha pikipiki
Mwingine akafariki mwaka 2001 kwa ugonjwa wa moto
Makaburi yao yamejengwa kwa kuyaunganisha sehemu moja

.............
Aisee
 
Muziki: Wema na Ubaya, Cha Pili Kiache

Muda unakimbia sana Makapuku waheshimika, nani alijua kesho itakuwa ni Ijumaa! Ukisoma kiumakini utagundua kuwa sijauliza swali ila tu nimekuja kukusalimia wewe, yeah, wewe hapo unayenisoma muda huu. Pokea heshima nyingi sana usiku huu maana unastahili na stahili hii ni kwa sababu wewe unaunda timu inayoifanya KF iwe mahala pa kuvutia bila kutolewa mahari. Asante sana kwa kuwepo hapa.

Hivi kuna sababu yoyote ya kutofanya jambo zuri kwa mtu usiyefahamiana naye? Usiniambie kuwa dini zimetufundisha kuwa wema maana dini zetu hizi zina mazongo kibao, so weka pembeni jibu la dini yako jibu wewe kama wewe. Binafsi ninajiaminisha ukiwa mstaarabu (civility) huhitaji uijue dini ndo utende wema na uuchukie ubaya. Kuna bangi na bangili, hiyo ya kwanza inatibu sikio. Chukua hilo maana kubadilika ni tabia ya kila kiumbe hai. Hulazimishwi kubadilika, baki hivyo hivyo kama mother nature itakuruhusu.

Asanteni sana wadau mliotuamsha kwa magazeti, sala, BBC, kubwa 10, sogozi za mchana, michezo na zaidi asante kwa wageni waliotembelea hapa. Usijiulize mbona ninakaribisha sana kwani mimi ni nani hapa, mbona najidai kujua sana, well, la kwanza, mimi ni kama wewe tu, bando langu na kutaka kupata maarifa kwa kuwa hapa kunanifanya nije hapa na kuwaona wengine wakiwa hapa basi nawiwa kuwashukur maana maarifa yanaongezeka.

Muziki sasa, huwa nikimsikiliza nakumbuka mengi sana, mazuri na yenye utata ulionifanya nijiulize je hili nililolifanya (enzi hizo) ni sahihi. Hizi safari ziache tu na wengine tukiendaga ugenini lodging zina mapepo hatulali peke yetu, you know warra am saing'i. Ndivyo inavyokuwa na ndo unasema a blessing in disguise. Anaitwa Jose Chameleon, ana udokta wa heshima huyu kwa namna anavyotumia mali zake kusaidia wahitaji wanaomzunguka.
Burudika mdau

 
1/Ashley & Mary--Kate Olsen
416dc5e515340511ebd672d75b954e49.jpg
8b4670ad2ec1838964c1b4e3846faeac.jpg
7ef286a41d94e6b425b391fb4a88fbed.jpg

Walizaliwa Juni 13 mwaka 1986 nchini Marekani
Hawa umaarufu wao inatokana na pesa walizonazo.....hawajafikisha hata miaka 35 lakini wana mkwanja mrefu wa kuweza kuwahonga hadi Sizonje na Bashite waamue kuuza nchi nzima ya Bongo na kutuacha wananchi tukipiga miayo
Wanatajwa kuwa wanawake matajiri # 10 duniani
Pia pengine ndo mapacha wenye mpunga mrefu zaidi duniani
Utajiri wao ni zaidi ya USD milioni 300
.
.
.
.
.
.
.
.

Shukrani kwa mliosapoti mada
Niwatakie Usiku Mwema
Tukutane kesho
Mwisho
..........
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom