Makapuku Forum

Makapuku Forum

Wakati huo asema Bwana nitakuwa Mungu wa jamaa zote za Israel nao watakuwa watu wangu

Bwana asema hivi watu wale walioachwa na upanga walipata neema jangwani yaan Israel hapo nilipokwenda kumstarehesha

Bwana alinitokea zamani akisema naam nimekupenda kwa upendo wa milele ndiyo maana nimekuvuta kwa fadhili zangu
YEREMIA:31:13


Muwe na usiku mwema mlindwe
na damu ya Yesu


Amen mtumishi. Asante sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom