Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,081
- 464,013
Shemela unanifurahisha sana aisee
Nimechochea nini shemela wangu wa ukweli


Nakufahamu ujue
Shemela unanifurahisha sana aisee
Nimechochea nini shemela wangu wa ukweli


Nakufahamu ujue
Ilaa weweeeNeno moja tu hujatamka, "BONGE"
Fitina zenuuNini tena mutu ya totoz
Nakupa peniiiiShemela nikuweke kwenye list ya wabaya wanguuu
Umegusa ngoma zngu mule muleNimekukosha na nini tena mondray mzima lakini unaendeleaje
Shemela, mimi vibonge sipendi, portable ndio nzurivimekufanya upende vibonge
Hatuna fitinaFitina zenuu
Hawezi hata kidogoNakupa peniiii
Nyiee kaliaa fitinaaHatuna fitina
Tumewazoea babeFitina zenuu
Nipe Baba D shemela simuelewi kabisaNakupa peniiii
Enjoy mondrayUmegusa ngoma zngu mule mule
Basi pambana na hali yako shemela acha kibonge mie na baba d wangu tupambane na hali zetu kwani mke mwee ni portableShemela, mimi vibonge sipendi, portable ndio nzuri
Bila shaka kabisaBasi pambana na hali yako shemela acha kibonge mie na baba d wangu tupambane na hali zetu kwani mke mwee ni portable
Kweli ujue
Weka link shemelaBaba D jaman unataka nikufwe au mbona hauniambia kama umenianzishia uzi nakupenda lee wangu Mungu azidi kuniwekea![]()
Wakati huo asema Bwana nitakuwa Mungu wa jamaa zote za Israel nao watakuwa watu wangu
Bwana asema hivi watu wale walioachwa na upanga walipata neema jangwani yaan Israel hapo nilipokwenda kumstarehesha
Bwana alinitokea zamani akisema naam nimekupenda kwa upendo wa milele ndiyo maana nimekuvuta kwa fadhili zangu
YEREMIA:31:13
Muwe na usiku mwema mlindwe
na damu ya Yesu![]()