Madame S
JF-Expert Member
- Mar 4, 2015
- 17,177
- 34,444
Tatizo uncle magu au?Jamani mbona kapuku mwenzenu nna uchovu sana wa hisia ?????? Yani napata na hasiraaaaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Powaa u good
Madame S
Honey, uchovu wa na huyo mjomba uliemtaja vinahusikaje?Tatizo uncle magu au?
Pole sana, maisha yenyewe ndio Haya haya
Tunashukuru Mungu mambo yanaenda kama yalivyopangwaShwarii sana sijui nyie Humuu
Kila mtu na mnyonge wakeFootball ina maajabu yake aisee![]()
![]()
![]()
Nakushauri fuga pakaJamani mbona kapuku mwenzenu nna uchovu sana wa hisia ?????? Yani napata na hasiraaaaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa hasira zake zinatoka wapi love?Honey, uchovu wa na huyo mjomba uliemtaja vinahusikaje?
Madame S
Unafikiri ingekuwa uefa Madrid angekubali kufungwa zote hizoKila mtu na mnyonge wake
....
Kuchapia hakujawahi kumuacha mtu salamaNimekuelewa Madane
...




Wamefungwa bhanaUnafikiri ingekuwa uefa Madrid angekubali kufungwa zote hizo
Basi kuwa mpole my loveHata sijui honey
Madame S
Ndio mpira, pia akapigwa 3 na juventusWamefungwa bhana
Mbona Barca alipigwa 5 na PSG UCL
Tuache visingizio kwamba ni mechi ya kirafiki
![]()
![]()
![]()
.....