Makapuku Forum

Makapuku Forum

8/Charlie & Craig Reid
a5c4d382206791ae601fffc190074c20.jpg
027bdec83d7e307f8dc64cdc7066eeb0.jpg

Walizaliwa Machi 5 mwaka 1962Hawa walikuwa na bendi yao waliyoiita The Proclaimers ambayo waliianzisha mwaja 1983 wakiwa na miaka 19 tu
d219f166d534eeea82bc9e21c8f57c37.jpg

Walitikisa sana miaka ya 1980 na kibao chao cha I am Gonna Be 500 Miles :
I'm Gonna Be
(500 Miles)

.......,..,..
 
7/Kin Narita & Gin Kanie
e762bedd9d62f895d1cfcae376282ff8.jpg
b68ed4621486565b08db85f912e4772e.jpg
Hawa ni mapacha walioweka rekodi ya kuishi miaka mingi zaidi hapa duniani
Hawa ni raia wa Japan waliofariki mwaka 2000 mmoja akiwa na miaka 107 halafu mwingine akiwa katimiza miaka 108
Mwaka 1992 wakati wanaadhimisha miaka 100 walizindua album waliyoipa jina la Gin Chan & Kin Chan ambayo ilibamba vilivyo huko Japan kwa akina Takuma

.............
 
6/The Harp Twins
5d4aad8488e73a5d4cadbc6673565ab0.jpg
10e54b122a9d721780fe1f2a9b8cf018.jpg

Sijajua tarehe yao wala mwaka wao wa kuzaliwa
Ni mapacha wa Kimarekani
Hawa ni wanadada mapacha warembo ambao umaarufu umeongezeka kutokana na video zao zilizojazana huko YouTube
Wametoa singo zaidi ya 80

............
Zitaendekea baadaye
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom