Makapuku Forum

5/James & Oliver Phelps

Walizaliwa Februari 25 mwaka 1986
Hawa ni mapacha maarufu huko kwa Malkia Elizabeth na dunianikwa ujumla
Hawa wanafahamika zaidi kama Wesley Brothers
Wanaonekana kwenye mfululizo wa filamu za Harry Porter
Katika filamu hizo kuonekana wakiwa na nywele nyeusi au rangi zingine tofauti na uhalisia kutokana na kupaka rangi( ambapo kiuahilsia wana nywele za dark beown)

Kwwnye filamu za Harry Porter watu wengi wameshindwa kung'amua kwamba ni mapacha na sio mtu mmoja

...........
 
4/Billy &Benny Loyd McCrary

Walizaliwa Disemba 7 1946
Hawa ni mapacha wanaoshikilia rekodi ya kuwa mapacha vibonge zaidi kuwahi kutokea duniani
Walikuwa na uzito wa jumla wa Paundi 1468 (Kg 670+)
Mmoja alifariki wakati wakiendesha pikipiki ya pamoja(pikipiki pacha) mwaka 1979.....walipendelea kuendesha pikipiki
Mwingine akafariki mwaka 2001 kwa ugonjwa wa moto
Makaburi yao yamejengwa kwa kuyaunganisha sehemu moja

.............
 
3/Cameroon & Tayler Winklevoss

Walizaliwa Agosti 21 mwaka 1981
Hawa ni wataalamu wa kubuni na kutengeneza tovuti yaani wapo vizuri kwenye Teknolojia ya Habari na Mawasiliano(TEHAMA/ICT)
Ndio waliomshawishi na kumvutia Mark Zuckerberg kuanzisha mtandao wa Facebook baada ya kutoa wazo
Pia wana kipaji cha kurusha mikuki na kuendesha mitumbwi na walishiriki pamoja katika michuano ya Olympic huko Beijing China 2008

...............
 
Asante
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…