Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,081
- 464,013
Ahahhh hukawii kuniambia napenda kususa shemelaNdio umekasilika shemela wangu
Ahahhh hukawii kuniambia napenda kususa shemelaNdio umekasilika shemela wangu
Na ukijua utafaidika nnEti baba D ni kweli?
Na kwako pia shemela kesho msisahau kuwabadili nguo wakina jjNawatakieni usiku mwema
Hajui tuUnamponzaa
Kweli au ni DP tu?kala BAN
Ahahhh hukawii kuniambia napenda kususa shemela
Ni nyingineBoo nijuayoo mm au hii nyingine
Weka picha ya boo tafadhali
Kama ni ile ban mpaka leoKweli au ni DP tu?
kwa nini binamu
Pamoja na maongeze yenu ya usiku humu, kila wakati mko kwenye maombi yangu nikiwakumbuka katika bundle mnazotumia kusikiliz muziki mzuri kama huu unaokujia mida hii ya usiku mnene


santeeee nakupenda binamu ujue
Pumzika mkuuNawatakieni usiku mwema
Niteke niteke niteke teka moyooooo
Binamu yangu mimi apaasanteeee nakupenda binamu ujue
Eti shem wane kuna zamu humu?