Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Boo nijuayoo mm au hii nyingineHakukuwa na jam leo ndio maana mapema tu nipo ndani ya nyumba, pole na uchovu boo
Weka picha ya boo tafadhali
Boo nijuayoo mm au hii nyingineHakukuwa na jam leo ndio maana mapema tu nipo ndani ya nyumba, pole na uchovu boo
Sio kawaidaa yangu najuaa...ila leo napata raha sana nikichat nimekulaliaa hapaaa ata usingz sipstiii
unanitisha ujue sijakuzoea hiviKwenye jukwaa la habari mchanganyikoNilikuwepo kutwa mkuu
Si leo tunafanya kidogooi![]()
ila mazoezi yanakuhusu ujue
Ndio umekasilika shemela wanguShemela sitaki mie naonaga watu wanaendelea kuchangia kwenye ule uzi Baba D hataki
Binamu kinachosha ujue afanye mazoezi kidogo...punguza uvivu, kitambi afya ni muhimu kwa mume wako
Hivi umejuaa yamemshindaa nini ???
Si yale maviazi ya kilwa
UnamponzaaNdio umekasilika shemela wangu
Umejioneaa wengi wanavopenda tufarakaneeHa hahahaha, yale maviazi ya Kilwa akipita Nangurukuru abebe na samaki
Eti baba D ni kweli?Kwa nini usiamini sasa muulize baba d
Binamu asubuhi tenanaomba tu niwekee sasa hivi jaman
Hivi ban yake mpaka leokala BAN
Kidogo sanaSi leo tunafanya kidogooi
Utanitag picha