Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
ShunieEbhu nitajie ata mmoja aliyekutumaa
ShunieEbhu nitajie ata mmoja aliyekutumaa
Sawa kaka Ray ...nimesahau bhana Sawa kaka MondSasa U yuda wangu uko wapi..?
Acha uongo ujue ulikua unakimbizana na bata sio shem wala nini!!
Chelsea Vs Bayern Munich (2-3) All Goals & Extend…:
Hapo kwenye ubingwa sidhani japo inawezekaniThanks mdau ....Niweke ushabiki pembeni nilichokiona leo Anthony Conte anayo kazi ya kufanya mpaka hapo atakapo pona Tiemoue Bakayoko kushirikiana na Ng'olo Kante katika mfumo wake... Bila hivyo roho ngumu pekee ndio itadumu kwenye mapafu ya Cesc Febrigus katika ile 3:5:2..until further notice wanasema wahenga.....
Katika mchezo ulioisha na huu.... Wanachokikosa Chelsea ni mtu wa kufanya kazi ya Matic, sababu Febrigus anafanya kazi yake na Kante anajikuta ana double work..........
...Ukimuchekiii Toliso unagundua ndio sababu ya Conte kuilaumu kamati ya usajili ya Chelsea kumuacha aende Munich kutoka Marseille wakati alikuwa kwenye mipango ya Kocha....weka kumbukumbu sawa mdau moja ya tageti ya Conte alikuwa kwenye list
Ila uzuri bado Chelsea wana kitu kizuri katika timu yao..... Bila Hazard, Bila Pedro, Bila Matic, Bila Costa, Bila Bakayoko na bado rhythm ya timu ipo juu, Bado nawapata nafasi ya kuwa title contender next season.
Sawa kaka Ray ...nimesahau bhana Sawa kaka Mond
![]()
![]()
![]()
....
Thanks mdau ....Niweke ushabiki pembeni nilichokiona leo Anthony Conte anayo kazi ya kufanya mpaka hapo atakapo pona Tiemoue Bakayoko kushirikiana na Ng'olo Kante katika mfumo wake... Bila hivyo roho ngumu pekee ndio itadumu kwenye mapafu ya Cesc Febrigus katika ile 3:5:2..until further notice wanasema wahenga.....
Katika mchezo ulioisha na huu.... Wanachokikosa Chelsea ni mtu wa kufanya kazi ya Matic, sababu Febrigus anafanya kazi yake na Kante anajikuta ana double work..........
...Ukimuchekiii Toliso unagundua ndio sababu ya Conte kuilaumu kamati ya usajili ya Chelsea kumuacha aende Munich kutoka Marseille wakati alikuwa kwenye mipango ya Kocha....weka kumbukumbu sawa mdau moja ya tageti ya Conte alikuwa kwenye list
Ila uzuri bado Chelsea wana kitu kizuri katika timu yao..... Bila Hazard, Bila Pedro, Bila Matic, Bila Costa, Bila Bakayoko na bado rhythm ya timu ipo juu, Bado nawapata nafasi ya kuwa title contender next season.
Asante bitoz kwa kumi kubwa1/Albert Spaggiari
Kitaani jamaa alionekana kama tozy fulani hivi au mboga saba tu ila kumbe jamaa ni habari nyingine![]()
Huyu kibaka ndo baba lao yaani kibaka kiwango cha SGR
Yeye yupo tofauti na wenzake maana pia ni tapeli aliyekubuhu
Alikuwa ni mpiga picha supastaa hivyo hakuna aliyemtilia mashtaka kana jamaa ni kibaka
Tukio linalokumbukwa ni lile ambao 'alichora ramani' na kuwatafuta watu wa kushirikiana nao na kufanikusha wizi uliotikisa Ufaransa na dunia kwa ujumla
Alifanikisha tukio la kuiba katika Vault ya kuhifadhia vito huko Ufaransa na kisha kuandika maneno ukutani Bila silaha,bila vurugu hii ni sababu walichimba shimo/handaki chini na kufanikiwa kuingia ndani na kisha kutoboa ukutani kwenye vault na kufungua viboksi takribani 400 vyenye thamani ya pesa ya Ufaransa Milioni 60
Siku aliyokamatwa wananchi wa Ufaransa walipigwa butwaa yaani ni km Idrisa Sultan au Kifesi ashikwe kwenye tukio kubwa la ujambazi
]![]()
![]()
.
.
.
.
.
.
.
Shukrani kwa mliosapoti mada
Tukutane kesho
Mwisho
.............
Shemeji za sikuShunie
Kocha ni binamu wangu wa faida tena timu ya wanawakeBila shaka utakua kocha wa Timu ya shule au ngedere BTW upo vzr kwa uchambuzi..
Kocha ni binamu wangu wa faida tena timu ya wanawake
Upo sahihi mdau
Hata maelezo yako haya mafupi tu mtu atakuelewa
Tena kule jukwaa la Intelejensia huwa sikosi kusoma thread zako
Bahati mbaya kwa hapa Makapuku watu wa kariba yako wapo wachache
.......
Nimeamka salama binamu nafurahi kusikia hivyo jaman kwani wameshaanza kurudishwa kwao
Kocha ni binamu wangu wa faida tena timu ya wanawake
Upo sahihiMakapuku haijawahi kuwa na bahati mbaya, hilo la kwanza. Uwepo wake tu hapa kama ilivyo mimi, wewe, yule na hata anayesoma unalifanya jukwaa hili kuwa zuri na la kipekee na ni bahati mbaya sana kwa ambaye hatembelei hapa😀