Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Watakuwa waliokutuma nao wametumwaaaWana kapuku
Watakuwa waliokutuma nao wametumwaaaWana kapuku
HahahaWatakuwa waliokutuma nao wametumwaaa
Ebhu nitajie ata mmoja aliyekutumaaHahaha
Sawa muzeeHalf time ilikuwa 3-1
Morata hayupo
Sawa muzee
Hayo maneno ya (3-0) sikutaandika mimi bali copy nikasahau kuedit
....
Vizuri kama uko na uzima
le, ndio Feb nikajiunga huku KP[/QUOTE]
TayariiKayafute maneno yaliyoleta utata au kuniquote kama mimi
Anaweza kuja mtu akayaendeleza
.....
6/Derek 'Bertie' Smalls![]()
![]()
![]()
Huyu alikuwa ni mwizi aliyebobea huko Uingereza katika miaka ya 1960
Kabla ya miaka ya 1970 alikuwa ni mwizi mwenye jina kubwa kwenye mitaa ya jiji la London
Mwezi Februari 1970 aliongoza genge liitwalo Wembley Mob kuvamia na kuiba pesa kiasi cha Pauni 240,000katika benki ya Barclays kiasi ambacho ni rekodi kwa kipindi hicho
Kisha akapanda treni na kutimkia jijini Paris kusikilizia upepo na kuponda raha
Baada ya juahidiwa kupewa kinga na mwendesha mashtaka iwapo atakubali kuelezea wizi ulivyofanyika kwaajili ya faida ya Polisi siku zijazo alikubali kurudi na kutoboa siri ambapo genge zima lilipigwa mvua ya miaka 100 jela ila yeue akasamehewa
Huyu jamaa ni mfano halisi wa Yuda Eskarioti
.............
Km ww
![]()
![]()
![]()
....
Mdau na mimi binadamu kama ww siishi kwenye server za Jf bali kitaa hivyo samtaimu mambo yanabanaWewe ndio yuda maana umenikalisha hapa hata kuendrlea huendelei . Unazingua madenge..
Sasa U yuda wangu uko wapi..?Mdau na mimi binadamu kama ww siishi kwenye server za Jf bali kitaa hivyo samtaimu mambo yanabana
Mgano nilikuwa nazungumza na shemeji yako
Ila nitazimaliza baada ya muda
.....