Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,636
Nilipo inaoneshwa kwenye kebo ....channel ya Kiarabu
Bado sijaipata
Na Youtube wanazingua
......
Nilipo inaoneshwa kwenye kebo ....channel ya Kiarabu
Watajua wenyewe, maisha yenyewe haya.... Kuanza kuwekana kwenye mabano ni utoto tuu.... Mwambie mtu ukweli akuelewe

Duh kumbe ulisharejeaWatajua wenyewe, maisha yenyewe haya.... Kuanza kuwekana kwenye mabano ni utoto tuu.... Mwambie mtu ukweli akuelewe
AsanteNakupenda tuuu
Hii kebo tz haipo![]()
Bado sijaipata
Na Youtube wanazingua
......
Ni Youtube hapo ndugu ila ni kachanel kanataka nikasubscribe huwa inatokea na wakikata huwa nahamia kwingineHii kebo tz haipo
Cheki startimes world football hope wanaonesha
Sawa mkuuHalafu siku uliyoaga kwamba hautokuwepo kwa muda nilikuPM ila ukawa ushasepa angalia PM utaikuta
......
Usijali...Duh kumbe ulisharejea
Karibu
Hiyo ishu tumewaelewa na kama binadamu kukosoana ni kitu cha kawaida na pia kusameheana na kuvumiliana
Hivyo kama mlivyosema sio sahihi "kuzungumzia mtu/watu" tumewaelewa na kuheshimu maoni yenu maana yana lengo la kujenga
Tuendeleze mengine jamani
......
Namanisha kebo ninayoangalia hapaNi Youtube hapo ndugu ila ni kachanel kanataka nikasubscribe huwa inatokea na wakikata huwa nahamia kwingine
......
Umetuleteaa nnUsijali...
Nimerejea asubuhi mie
Ila T hayupoUsijali...
Nimerejea asubuhi mie
Sawa ushapigwa 3Namanisha kebo ninayoangalia hapa
UpendoUmetuleteaa nn
Alikutumaa naniiUpendo
Atakuja Wala UsijaliIla T hayupo
Napendaga mtu anayenirudisha kwebye mstari
![]()
![]()
![]()
....
Bayern munchen vs chelsea (3-0) Half time:
Wapi Morata
.........
Wana kapukuAlikutumaa nanii
Sawa ushapigwa 3
Na bado
Ila mtasingizia ni kamechi ka majaribio ila mlipomfunga Arsenal 3 hatukulala
![]()
![]()
![]()
.....
