Makapuku Forum

Makapuku Forum

Leo katika Historia

1961 - John F. Kennedy Rais wa 35 wa Marekani anatoa hotuba ya kutoa msisitizo kuwa mashambulizi iwapo Berlin itashambuliwa basi wao wanaamini Nato nzima itakuwa imeshambuliwa.
John F. Kennedy alikuja kuuwawa November 22 Mwaka 1963
545522544286d7ed8b4c3b22149ed529.jpg
d86d10e137150dc77a80d5efbdf73ef4.jpg
(
JFK aliandanwa na mikosi
Karibia kila jambo lilimshinda pake alipojaribu kuliweka sawa labda alifanikiwa kwenye mapenzi tu
Hata Vita Ya Vietnam hadi anauawa alikuwa keshafeli
......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom