Makapuku Forum

Makapuku Forum

TOP TEN
Kuna usemi kwamba afya ni uhai pia mtaji wa maskini ni nguvzake ikimaainisha afya njema huchangia mtu kuwa na maendeleo maana ukiwa afya mgogoro basi utapoteza muda na pesa nyingi
Basi leo nawaletea magonjwa 10 hatari zaidi duniani

Yaani magonjwa yanayopeleka idadi kubwa ya watu makaburini
karibuni
.......

Karibu
 
10/Malaria
89def69c7699fa2385d1b874d9b55c57.jpg
c2ad3636cbde27518bcbdfe455b08fd5.jpg
210b4c44e68021eb5ddeda43623af06f.jpg

Huu ugonjwa huenezwa na mbu jike aitwaye Anopheles
Unashambulia zaidi bara la Afrika kutokana na hali ya kijiografia
Mnakumbuka serikali ilianzisha kampeni ya kugawa vyandarua vya dawa....mwenzenu niliishia kuvulia kambale tu maana hakienei kitandani.
Kama unaishi Dar na hujawahi kuugua Malaria basi labda una seli mundu !!!
Husababisha vifo takribani Milioni 1 kila mwaka
...........
 
Back
Top Bottom