Makapuku Forum

Makapuku Forum

ca41d42bda73aec7577db79313f594c0.jpg
0121de7b3777e4ba67949846d8f26245.jpg
3f112caa86d0d90a9c7784dbb78ef788.jpg

Sijawahi kuwachukia marastafari sababu tu ya bangi zao....wengi hawana makuu na mtu
Wakati nasoma nilikaa hosteli chumba cha watu wawili mwenzangu alikuwa ni mvuta bange na mnywa pombe aliyetukuka ila hakuwa na ukorofi wowote wala umbea umbea tukaishi vizuri na hadi leo bado ni marafiki tunaoelewana japo tupo mikoa tofauti
Ila chumba cha pili kulikuwa na "mcha Mungu" mkorofi aliyepitiliza na ana mdomo kama kasuku sikumpenda kantu
...........................................................
Napenda kumhukumu mtu kwa matendo anayonifanyia au yanayonigusa/kuniatiri/dhuru moja kwa moja na siyo mambo binafsi ya mtu....kamwe hayanihusu

.
Bongo tunaye baba Tunda(Afande Sele) nasikia anakula nyama sanabu Ni Mtazamo wake binafsi na katumia Darubini kali kujipima
......
 
TOP TEN
Kuna usemi kwamba afya ni uhai pia mtaji wa maskini ni nguvzake ikimaainisha afya njema huchangia mtu kuwa na maendeleo maana ukiwa afya mgogoro basi utapoteza muda na pesa nyingi
Basi leo nawaletea magonjwa 10 hatari zaidi duniani

Yaani magonjwa yanayopeleka idadi kubwa ya watu makaburini
karibuni
.......

 
TOP TEN
Kuna usemi kwamba afya ni uhai pia mtaji wa maskini ni nguvzake ikimaainisha afya njema huchangia mtu kuwa na maendeleo maana ukiwa afya mgogoro basi utapoteza muda na pesa nyingi
Basi leo nawaletea magonjwa 10 hatari zaidi duniani

Yaani magonjwa yanayopeleka idadi kubwa ya watu makaburini
karibuni
.......

Karibu
 
Nitayainua macho yangu niitazame milima, Msaada wangu utatoka wapi?
Msaada wangu u katika Bwana aliyezifanya mbingu na nchi

Asiuache mguu wako usogezwe asisinzie akulindaye.

Naam, hatasinzia wala hatalala usingizi yeye aliye mlinzi wa Israel.

Bwana ndiye mlinzi wako, Bwana ni uvuli mkono wako wa kuume jua halitakupiga mchana wala mwezi wakati wa usiku.

Bwana atakulinda na mabaya yote atakulinda nafsi yako.
Bwana atakulinda utokapo na uingiapo Tangu sasa na na hata milele

Zaburi 121:1:8

Muwe na mchana mwema mbarikiwe sana
Oooooh! Shangazi umenikumbusha wimbo Wa kanumba
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom