Makapuku Forum

Makapuku Forum

Neno lako ni taa ya miguu yangu, na mwanga wa njia yangu
Nimeapa nami nitaifikiliza, kuzishika hukumu za haki yako nimeteswa mno

Ee Bwana unihuishe sawasawa na neno lako Ee Bwana uziridhie sadaka za kinywa changu na kunifundisha hukumu zako

Nafsi yangu imo mkononi mwangu daima lakini sheria yako sikuisahau
watendao uovu wamenitegea mtego lakini sikuikosa njia ya mausia yako

Shuhuda zako nimezifanya urithi wa milele maana ndizo changamko la moyo wangu

Nimeuelekeza moyo wangu nizitende amri zako daima naam, hata milele
Zaburi 119:105:11

Mungu azidi kuwabariki muwe na mchana mwema
 
6f80924e778ea6c41a5b1415e4504b6b.jpg


Mtag unayemjua
Aisee
 
Neno lako ni taa ya miguu yangu, na mwanga wa njia yangu
Nimeapa nami nitaifikiliza, kuzishika hukumu za haki yako nimeteswa mno

Ee Bwana unihuishe sawasawa na neno lako Ee Bwana uziridhie sadaka za kinywa changu na kunifundisha hukumu zako

Nafsi yangu imo mkononi mwangu daima lakini sheria yako sikuisahau
watendao uovu wamenitegea mtego lakini sikuikosa njia ya mausia yako

Shuhuda zako nimezifanya urithi wa milele maana ndizo changamko la moyo wangu

Nimeuelekeza moyo wangu nizitende amri zako daima naam, hata milele
Zaburi 119:105:11

Mungu azidi kuwabariki muwe na mchana mwema
Waaaaaaaoooooh my mke asante kwa chakula ya roho
 
Neno lako ni taa ya miguu yangu, na mwanga wa njia yangu
Nimeapa nami nitaifikiliza, kuzishika hukumu za haki yako nimeteswa mno

Ee Bwana unihuishe sawasawa na neno lako Ee Bwana uziridhie sadaka za kinywa changu na kunifundisha hukumu zako

Nafsi yangu imo mkononi mwangu daima lakini sheria yako sikuisahau
watendao uovu wamenitegea mtego lakini sikuikosa njia ya mausia yako

Shuhuda zako nimezifanya urithi wa milele maana ndizo changamko la moyo wangu

Nimeuelekeza moyo wangu nizitende amri zako daima naam, hata milele
Zaburi 119:105:11

Mungu azidi kuwabariki muwe na mchana mwema
Amen
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom