mzeewakungoa
JF-Expert Member
- Nov 26, 2016
- 4,969
- 13,920
Ha ha ha ha ha ha ha.... Pamoja mkuuFresh tu mdau
Wengine tushalisha mifugo now tunapata madini ya asubuhi asubuhi
.....
Ha ha ha ha ha ha ha.... Pamoja mkuuFresh tu mdau
Wengine tushalisha mifugo now tunapata madini ya asubuhi asubuhi
.....
Hatujambo Jimena ...za kwako?Hatujambo, habari za jumapili Makapuku wote
Sanaaaa shululuPamoja mzee wa Jani
Leo katika Historia
1972 - Giovani Elber anazaliwa. Ni mchezaji wa zamani wa Bayern Munich na timu ya taifa ya Brazil.
Ingawa ni dikteta ila alikuwa na kauzalendo flani iviHuyu jamaa alikuwa anaona mbali
Karibu ankoAsante ankali kwa historia
Lugha ngeni ni utumwaFikra sahihi huja kwa lugha asili
Utumwa wa fikra n mbaya sanaLugha ngeni ni utumwa
Mi huyu wala sijaona udikteta wake... Basi tu wanatuaminisha hivyoIngawa ni dikteta ila alikuwa na kauzalendo flani ivi
Swahiba wake Hitler mfano ndo chimbuko la Volkswagen maana alitamani kila Mjerumani aendeshe gari badala ya baiskeli
Hivyo Madikteta wana mazuri yao pia
.....
Poa kabisaHatujambo Jimena ...za kwako?
Kila kitu kina positive na negative broIngawa ni dikteta ila alikuwa na kauzalendo flani ivi
Swahiba wake Hitler mfano ndo chimbuko la Volkswagen maana alitamani kila Mjerumani aendeshe gari badala ya baiskeli
Hivyo Madikteta wana mazuri yao pia
.....
Leo katika Historia
1992 - Danny Ings anazaliwa.
Mchezaji wa Liverpool na timu ya taifa ya England.
Kila kitu kina positive na negative bro
Wanagharibi wakiona upo dhidi yao wanakuita DiktetaMi huyu wala sijaona udikteta wake... Basi tu wanatuaminisha hivyo
Wanagharibi wakiona upo dhidi yao wanakuita Dikteta
Dikteta Mugabe
Dikteta Gaddafi
Dikteta Mussoloni
Dikteta Hitler
Dikteta Pinochet
Dikteta idd Amin
N.k
Ila sijawahi kumsikia Dikteta Mmarekani wala Mwingereza
![]()
![]()
![]()
.......
Na hutokuja kusikiaOliver Cromwell (mwingereza)Wanagharibi wakiona upo dhidi yao wanakuita Dikteta
Dikteta Mugabe
Dikteta Gaddafi
Dikteta Mussoloni
Dikteta Hitler
Dikteta Pinochet
Dikteta idd Amin
N.k
Ila sijawahi kumsikia Dikteta Mmarekani wala Mwingereza
![]()
![]()
![]()
.......
Leo katika Historia
Leo ni siku ya mapinduzi huko Misri.
Bush {Sr & Jr) waneuwa rundo la watu Irak na hadi leo hapajatulia ila hata ICJ awajafikushwa![]()
Na hutokuja kusikia
Huyu bila shaka ni geresha tu
Point yao walikuwa wanapigana na magaidiBush {Sr & Jr) waneuwa rundo la watu Irak na hadi leo hapajatulia ila hata ICJ awajafikushwa
Huyu bila shaka ni geresha tu
Sijawahi kumsikia labda tu kuna kitu alivurugana na wakubwa
...
Ahahahhh madame s umefurahi sana jaman![]()
![]()
![]()
![]()
Madame S