Makapuku Forum

Ebu tumuacheni tu kwakweli kama kuna waliotapeliwa watajua wenyewe na ujinga wao kumwamini mtu kwa avatar fake na id fake
Ndo hivyo
Pia mi hata nifahamiane vipi na mtu mambo yetu ya nje ya Jf huishia huko huko na hata apate janga mfano kufariki simwanzishii thread au thread ikiletwa sitasema mambo yoyote kumuhusu hata jina lake halisi wala picha na hata yakitokea magumashi nauchuna tu

Mambo yangu binafsi na mtu yatabaki kuwa binafsi
.......
 
Jamani mbona hivi emeoji simu yangu haina? yaani hiki ndo viemoj nilivyonavyoπŸ˜€πŸ™‚πŸ˜‰πŸ™πŸ˜‘πŸ˜•πŸ˜ŽπŸ˜›πŸ˜€πŸ˜±πŸ˜³πŸ™„πŸ˜΅

Na haka ndo kakipenzi nakofurahiaπŸ˜€


I wonder!!!

What kind of phone you using..??

post using my macbook air using jamiiforums app
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…