Makapuku Forum

Makapuku Forum

UJUE ULIMWENGU

Nchini Nigeria majeneza hutengenezwa kwa mujibu wa kazi aliyokuwa akiifanya muhuusika wakati wa uhai wake.

e010e85d72abf848394d627dcf031948.jpg
fef86853b6f508aa1e7d9bba808ef158.jpg
6eed17cc32fc1833e2e49eabaff0725f.jpg
7c7107208a9af1aacb59b748a6c716c6.jpg
Nahitaji kuliona jeneza la changudoa


......
 
NUKUU YA LEO.

If you love life, don't waste time for time is what life is made up of.

Kama unapenda maisha, usipoteze muda , muda ndio unaofanya kuwepo na maisha.

Haya maneno yalipatwa kutamkwa na mwigizaji/mtengeneza filamu na mcheza judo wa kichina Lee Jun-Fan alimaarufu kama Bruce Lee.

Bruce Lee alizaliwa 27/11/1940 Huko Franscisco Marekani na kufariki 20/07/1973 huko Kowloon Tong, Hong kong.

Bruce Lee anakumbukwa kwa kazi nzuri kama Fist of Fury, Way of the Dragon na The big Boss.

Kifo cha bruce kinaacha utata mkubwa japo madaktari wa hospital ya Queen Elizabeth wanadai alifariki kwa allergy ya painkillers za meprobamate.

Time is life, life is time..!
3e2a85344e9aa5995d80591fbc4b8dfd.jpg

49f2f5af5148037ffc9f12fbfd839849.jpg

b64f61c3837626f03ce232b0068b6be8.jpg


Hii nilishaitoa siku za nyuma ila nimeileta kwa hisani ya historia ya leo.

Leo ndio siku aliyofariki..

Cc Bitoz na Jimena
Hayo maneno yana maana kubwa
Shukrani mdau
....
 
UBAHILI HAUFAI

1. Na yule afanyae ubahili na kujifahamu kuwa yeye si muhitaji kwa yeyote, na kukadhibisha jambo jema, basi Tutamrahisishia kupata taabu. Na mali yake haitamfaa atakapoangamia. Quran (92:8-11).
2. Na aepushwae na ubahili wa nafsi yake, basi hao ndio wenye kufaulu. Quran (64:16).

Ya Allah Tuepushe na ubahili ktk nafsi zetu tupate kufaulu mbele Yako. Allahuma ameen.
Mimi ni bahali
Kaa mbali na mimi

.....
 
Umekosea mdau ...

Chelsea ameeanza kumsaka Morata mapema kabla ya man u ....fuatilia vizuri tangu msimu uliopita
Hujaelewa
Bawasema Madrid na Man Utd
Wamegundua Man Utd msimu huu ikiimarika kwa kuwapa wachezaji basi UEFA upinzani utaongezeka dhidi yao
Nafikiri pia wanatukomoa kwa kuwabania De Gea....sasa sitegemei kama kuna mchezaji wa Man Utd ataenda Madrid miaka ya Karibuni
.......
 
Hujaelewa
Bawasema Madrid na Man Utd
Wamegundua Man Utd msimu huu ikiimarika kwa kuwapa wachezaji basi UEFA upinzani utaongezeka dhidi yao
Nafikiri pia wanatukomoa kwa kuwabania De Gea....sasa sitegemei kama kuna mchezaji wa Man Utd ataenda Madrid miaka ya Karibuni
.......
Still unakosea ...man u walipeleka dau gani wakakataliwa ukiacha maneno ya magazeti ...

Morinho alimtaka kabinetii ikazenguaa ...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom