Makapuku Forum

Makapuku Forum

NUKUU YA LEO.

If you love life, don't waste time for time is what life is made up of.

Kama unapenda maisha, usipoteze muda , muda ndio unaofanya kuwepo na maisha.

Haya maneno yalipatwa kutamkwa na mwigizaji/mtengeneza filamu na mcheza judo wa kichina Lee Jun-Fan alimaarufu kama Bruce Lee.

Bruce Lee alizaliwa 27/11/1940 Huko Franscisco Marekani na kufariki 20/07/1973 huko Kowloon Tong, Hong kong.

Bruce Lee anakumbukwa kwa kazi nzuri kama Fist of Fury, Way of the Dragon na The big Boss.

Kifo cha bruce kinaacha utata mkubwa japo madaktari wa hospital ya Queen Elizabeth wanadai alifariki kwa allergy ya painkillers za meprobamate.

Time is life, life is time..!
3e2a85344e9aa5995d80591fbc4b8dfd.jpg

49f2f5af5148037ffc9f12fbfd839849.jpg

b64f61c3837626f03ce232b0068b6be8.jpg


Hii nilishaitoa siku za nyuma ila nimeileta kwa hisani ya historia ya leo.

Leo ndio siku aliyofariki..

Cc Bitoz na Jimena
Good
 
NUKUU YA LEO.

If you love life, don't waste time for time is what life is made up of.

Kama unapenda maisha, usipoteze muda , muda ndio unaofanya kuwepo na maisha.

Haya maneno yalipatwa kutamkwa na mwigizaji/mtengeneza filamu na mcheza judo wa kichina Lee Jun-Fan alimaarufu kama Bruce Lee.

Bruce Lee alizaliwa 27/11/1940 Huko Franscisco Marekani na kufariki 20/07/1973 huko Kowloon Tong, Hong kong.

Bruce Lee anakumbukwa kwa kazi nzuri kama Fist of Fury, Way of the Dragon na The big Boss.

Kifo cha bruce kinaacha utata mkubwa japo madaktari wa hospital ya Queen Elizabeth wanadai alifariki kwa allergy ya painkillers za meprobamate.

Time is life, life is time..!
3e2a85344e9aa5995d80591fbc4b8dfd.jpg

49f2f5af5148037ffc9f12fbfd839849.jpg

b64f61c3837626f03ce232b0068b6be8.jpg


Hii nilishaitoa siku za nyuma ila nimeileta kwa hisani ya historia ya leo.

Leo ndio siku aliyofariki..

Cc Bitoz na Jimena
Alikufa angali bado kijana

Shukrani mkuu Transcend kwa nukuu mujarabu
 
Endelea kusubiri, ngoja nikupe jina la yule maarufu kabisa aliyezaliwa leo, na ana majina kibao mara aitwe Faranga, Hela, Pesa, Money, ila mimi napenda jina lake liendane na wale mapacha wenzake, mmoja anitwa Pombe (sio rais)... na pacha mwingine unamjua?

Good morning Wadau
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom