Makapuku Forum

Makapuku Forum

UJUE ULIMWENGU

Nchini Nigeria majeneza hutengenezwa kwa mujibu wa kazi aliyokuwa akiifanya muhuusika wakati wa uhai wake.

e010e85d72abf848394d627dcf031948.jpg
fef86853b6f508aa1e7d9bba808ef158.jpg
6eed17cc32fc1833e2e49eabaff0725f.jpg
7c7107208a9af1aacb59b748a6c716c6.jpg
sasa mtu kama doctor hilo jeneza lake linakuaje sijui
 
UBAHILI HAUFAI

1. Na yule afanyae ubahili na kujifahamu kuwa yeye si muhitaji kwa yeyote, na kukadhibisha jambo jema, basi Tutamrahisishia kupata taabu. Na mali yake haitamfaa atakapoangamia. Quran (92:8-11).
2. Na aepushwae na ubahili wa nafsi yake, basi hao ndio wenye kufaulu. Quran (64:16).

Ya Allah Tuepushe na ubahili ktk nafsi zetu tupate kufaulu mbele Yako. Allahuma ameen.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom