Makapuku Forum

Makapuku Forum

Don't mess with kansiime....


kati ya comedian wanaojua wanachokifanya kwa East Africa huwezi kumuacha huyu dada kutoka kwa m7 ....yaaaa Uganda ..

Sio kwamba wa kwetu hawajui ila utofauti upo mkubwa sana kati yao na sisi ata Kenya wako vizuri....sijajua ni Lugha ndo inawasaidia au laaah....


Kiukweli kazi za huyu dada nazipenda kinomaaaa....sio mbaya na wew ukapoteza mawazo kidogo kwa huyu cheusi wangu ....eti wangu namaanisha kansiime.......


Sio mzima huyo

.......
 
Love you more hunie
88d8e059ee2cb378fe6aee67d686a310.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom