Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
Ulimuhaid kumpa nini make anasema kisa mm ata umemblock





nimecheka sana eti kisa wewe
Ulimuhaid kumpa nini make anasema kisa mm ata umemblock





nimecheka sana eti kisa weweDon't mess with kansiime....
kati ya comedian wanaojua wanachokifanya kwa East Africa huwezi kumuacha huyu dada kutoka kwa m7 ....yaaaa Uganda ..
Sio kwamba wa kwetu hawajui ila utofauti upo mkubwa sana kati yao na sisi ata Kenya wako vizuri....sijajua ni Lugha ndo inawasaidia au laaah....
Kiukweli kazi za huyu dada nazipenda kinomaaaa....sio mbaya na wew ukapoteza mawazo kidogo kwa huyu cheusi wangu ....eti wangu namaanisha kansiime.......
Ahahha kwa nini yaan humpatii picha sakayo leo mapenzi hayana baunsaMengine ngumu kumezaaa
Salama za weweHabari zenu waungwana?
Wewe sawaanimecheka sana eti kisa wewe
Ahahha kwa nini yaan humpatii picha sakayo leo mapenzi hayana baunsa

Ahahhaha ila mie sijafanya kitu lakini Baba dWewe sawaa
Love you more hunie
Ahahhaha acha mapenzi yaitwe mapenzi mazoea mabaya sana kumzoea mtu
Nzuriii mkuuHabari zenu waungwana?
Kesi ninayo mm ujueeAhahhaha ila mie sijafanya kitu lakini Baba d
Sakayo kuja hapa sitaki kuona unalia tena
Ahahhah si umnunulie lakini kama anatakaKesi ninayo mm ujuee
Yako tuu ndo inatakiwaaa ...Ahahhah si umnunulie lakini kama anataka
Yako tuu ndo inatakiwaaa ...



nitamtafuta week end hii masikini ila nilimwambia mie na yeye hatuna shida kabisa yaan awe na amani