Makapuku Forum

Shukrani mdau
Nikutakie siku njema
....
 
Leo katika Historia

1954 - Angela Merkel anazaliwa.
Mwanamama huyu ni kansela wa Ujerumani.

Ana elimu ya Doctorate in Physical Chemistry yaani ni msomi kweli kweli siyo wale wakupewa km fulani
Ni kiongozi wa Christian Democratic Union(CDU)

Hana mtoto yoyote ....sijajua kama ni mgumba,lifestyle au kawahi kuzaa mtoto akafa
Kwa Wajerumani huyu ni kama Margaret Thatcher a.k.a Iron Lady
.......
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…